Iran yafanikiwa kurusha chombo kufikia Orbit za dunia

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,186
10,922
Marekani imethibitisha na kukubali kuwa kweli Iran imefanikiwa kuingiza satelite yake N3 kufikia orbit ambako huogelea satelite za mataifa mengine yaliyowahi kufanya hivyo.

Pamoja na kukubali huko Marekani imesema kitendo hicho cha Iran ni kukiuka maazimia ya vikwanzo kwa nchi hiyo jambo ambalo linaweza kuipa uwezo Iran kurusha makombora ya nyuklia.

Akitetea mafanikio hayo kiongozi mmoja wa kijeshi wa Iran amesema kufanikiwa kuingiza satelite yake km450 kutoka ardhini kutaifanya Iran iweze kuongoza droni zake kwa ufanisi zaidi na kuzipeleka mbali zaidi ya pale zinapofikia sasa.

1696012900020.png
 
Marekani imethibitisha na kukubali kuwa kweli Iran imefanikiwa kuingiza satelite yake N3 kufikia orbit ambako huogelea satelite za mataifa mengine yaliyowahi kufanya hivyo.

Pamoja na kukubali huko Marekani imesema kitendo hicho cha Iran ni kukiuka maazimia ya vikwanzo kwa nchi hiyo jambo ambalo linaweza kuipa uwezo Iran kurusha makombora ya nyuklia.

Akitetea mafanikio hayo kiongozi mmoja wa kijeshi wa Iran amesema kufanikiwa kuingiza satelite yake km450 kutoka ardhini kutaifanya Iran iweze kuongoza droni zake kwa ufanisi zaidi na kuzipeleka mbali zaidi ya pale zinapofikia sasa.

View attachment 2766675
Hawa Waajemi wana-akili nzuri sana, waweke sasa satellite za kijasusi kufuatilia kwa karibu matukio muhimu kwenye ukanda wao na kwa mahasimu wao.

T14 Armata
 
Hiyo ni teknolojia ya mrusi kamsadia mshirika wake
Iran wamepambana wenyewe na kusaidiwa kidogo tu hasa na North Korea na Russia.
Msaada wa North Korea ulikuwa zaidi kwenye rocketry na missile development.

Msaada wa Russia ulikuwa kwenye launching kwenye early development, hiyo ni kama biashara hata bongo tunaweza unda satellite tukaenda kwa Roscosmos shirika la anga la Urusi tukanunua tiketi ya Soyuz rocket iturushie satellite yetu. Hata Marekani wana huduma hiyo tena Elon Musk na SpaceX yake anatoza gharama ndogo kama payload anaweza kuibeba.

Mwaka jana Iran ilifeli launching kwa maumivu. Kuipa nchi nyingine credit kwa mafanikio ya Iran ni kuwafanya waonekane wamebebwa
 
Hawa Waajemi wana-akili nzuri sana, waweke sasa satellite za kijasusi kufuatilia kwa karibu matukio muhimu kwenye ukanda wao na kwa mahasimu wao.

T14 Armata
Hii ni ya tatu ingawa Marekani inadai Russia wataitumia kwanza kabla ya Iran kuitumia. Sijajua logic ya Russia kutumia satellite ya Iran inamaanisha Russia wana upungufu wa imagining satellites kama hii waliyorusha Iran
 
Hii ni ya tatu ingawa Marekani inadai Russia wataitumia kwanza kabla ya Iran kuitumia. Sijajua logic ya Russia kutumia satellite ya Iran inamaanisha Russia wana upungufu wa imagining satellites kama hii waliyorusha Iran
Kwani Urusi haina satellite za kijasusi ?
 
Marekani imethibitisha na kukubali kuwa kweli Iran imefanikiwa kuingiza satelite yake N3 kufikia orbit ambako huogelea satelite za mataifa mengine yaliyowahi kufanya hivyo.

Pamoja na kukubali huko Marekani imesema kitendo hicho cha Iran ni kukiuka maazimia ya vikwanzo kwa nchi hiyo jambo ambalo linaweza kuipa uwezo Iran kurusha makombora ya nyuklia.

Akitetea mafanikio hayo kiongozi mmoja wa kijeshi wa Iran amesema kufanikiwa kuingiza satelite yake km450 kutoka ardhini kutaifanya Iran iweze kuongoza droni zake kwa ufanisi zaidi na kuzipeleka mbali zaidi ya pale zinapofikia sasa.

View attachment 2766675
wenzake wanarusha chombo kwenda sayari ingine yeye anarusha kwenye sayari hiihii tu.
 
Sisi huku tunagawa bandari kwanza na kuzuia uchunguzi unaobainishwa na CAG dhidi ya maharamia ya CCM!
 
Back
Top Bottom