Iran yaendelea kupoteza vyanzo vya Mapato!!!

Iran yaendelea kupoteza vyanzo vya Mapato!!!

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
6,941
Reaction score
6,033
Iran inapoteza chanzo kingine muhimu cha mapato: Iraq itaacha kuagiza umeme kutoka Iran kutokana na vikwazo vya Marekani.

Iraq imewasha njia mbadala za umeme kuagiza umeme kutoka Jordan na Uturuki.
 

Attachments

  • IMG_2712.jpeg
    IMG_2712.jpeg
    178.4 KB · Views: 16
Miripuko ilitoke bandari ya Iran baadae ya siku mbili moto umewaka Israel ulivyokuwa huna akili ulishindwa kuelewa ule moto nani alisababisha ukashindwa kuelewa
 
Miripuko ilitoke bandari ya Iran baadae ya siku mbili moto umewaka Israel ulivyokuwa huna akili ulishindwa kuelewa ule moto nani alisababisha ukashindwa kuelewa
Ulivyo mjinga na mpumbavu hukujua pamoja na kuambiwa kuwa vijana wa kiarabu wanaoishi Israel ndiyo waliochoma mioto hiyo!!!
 
Iran inapoteza chanzo kingine muhimu cha mapato: Iraq itaacha kuagiza umeme kutoka Iran kutokana na vikwazo vya Marekani.

Iraq imewasha njia mbadala za umeme kuagiza umeme kutoka Jordan na Uturuki.
HIYO NI IRA SIYO TANGANYIKA AU USA TARRIF ANAWEKA YEYE UCHUMI UNAYUMBA KWAKE MWENYEWE...NI MWENDO WA KUZALISHA NYUKLIA TU KUMUANGAMIZA MYAHUDI IWE ISIWE
 
Back
Top Bottom