Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,445
- 3,403
Maafisa wa Iran wanaoongoza Uchunguzi wa ajali ya Ndege ya Abiria ya Ukraine iliyotungiliwa na Iran wamebadili mawazo ya kutuma 'Black Box' Nchi za nje kwa Uchunguzi
Hatua hiyo inakuja siku moja baada ya Mkuu wa Uchunguzi wa Ajali katika Mamlaka ya Anga ya Iran, Hassan Rezaeifer kusema vifaa hivyo haviwezi kusomwa Iran na watavipeleka Kyiv, Ukraine
Akinukuliwa na Shirika la Habari linaloongozwa na Serikali, Tasnim, Hassan amesema, "Black Box hizo kutoka kwenye ndege ya Ukraine zipo mikononi mwa Iran na hatuna mpango wa kutuma popote."
Amesema, Iran inafanya kazi kuzipata Data zilizo ndani ya 'Black Box' hizo na kwa wanaweza kuvituma vifaa hivyo Ufaransa au Ukraine ile kwa sasa wajafanya maamuzi
Iran awali lisema itapeleka Ukraine vifaa hivyo vya ndege iliyoua watu wote 176, ili maafisa wa Marekani, Canada na Ufaransa wakavichunguze
*******
The official leading the investigation into the Ukrainian plane shot down by Iran has appeared to backtrack on plans to send the black boxes abroad for analysis, a day after saying they would be sent to Kyiv.
Hassan Rezaeifer, the head of accident investigations for the civil aviation department, had said on Saturday the flight recorders could not be read in Iran, so they would be sent to Kyiv, where French, American and Canadian experts could analyse them.
However in an apparent u-turn, he was quoted by the state-run Tasnim news agency as saying: “The flight recorders from the Ukrainian Boeing are in Iranian hands and we have no plans to send them out."
He said Iran was working to recover the data and cabin recordings, and that it may send the flight recorders – commonly known as black boxes – to Ukraine or France. “But as of yet, we have made no decision.”
Iranian officials previously said the black boxes were damaged but usable.
Hatua hiyo inakuja siku moja baada ya Mkuu wa Uchunguzi wa Ajali katika Mamlaka ya Anga ya Iran, Hassan Rezaeifer kusema vifaa hivyo haviwezi kusomwa Iran na watavipeleka Kyiv, Ukraine
Akinukuliwa na Shirika la Habari linaloongozwa na Serikali, Tasnim, Hassan amesema, "Black Box hizo kutoka kwenye ndege ya Ukraine zipo mikononi mwa Iran na hatuna mpango wa kutuma popote."
Amesema, Iran inafanya kazi kuzipata Data zilizo ndani ya 'Black Box' hizo na kwa wanaweza kuvituma vifaa hivyo Ufaransa au Ukraine ile kwa sasa wajafanya maamuzi
Iran awali lisema itapeleka Ukraine vifaa hivyo vya ndege iliyoua watu wote 176, ili maafisa wa Marekani, Canada na Ufaransa wakavichunguze
*******
The official leading the investigation into the Ukrainian plane shot down by Iran has appeared to backtrack on plans to send the black boxes abroad for analysis, a day after saying they would be sent to Kyiv.
Hassan Rezaeifer, the head of accident investigations for the civil aviation department, had said on Saturday the flight recorders could not be read in Iran, so they would be sent to Kyiv, where French, American and Canadian experts could analyse them.
However in an apparent u-turn, he was quoted by the state-run Tasnim news agency as saying: “The flight recorders from the Ukrainian Boeing are in Iranian hands and we have no plans to send them out."
He said Iran was working to recover the data and cabin recordings, and that it may send the flight recorders – commonly known as black boxes – to Ukraine or France. “But as of yet, we have made no decision.”
Iranian officials previously said the black boxes were damaged but usable.