permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 10,027
- 11,220
Usizungumze kwa ujumla, technolojia yao ipo mbali ukilinganisha na taifa lipi? Iran wa kawaida tu tena alie nyuma yake ni Mrusi, sema kuna wakati wazungu wakitaka kukupiga huanza kukupa sifa za uongo kuwa ni taifa kubwa na la kutisha ila wapate sababu nzuri za kushambulia.All in all, Iran inanguvu za kawaida na haina ubavu kwa Marekani.Mkuu hao wa Iran wameishangaza Dunia jamaaa wana shabaha iliyopitiliza!
Pia technology wapo mbali Sana Sana iyo ndege waliangusha kwa sababu wanazo juwa wao!
Hizi ndege za abiri hutumika kwa masuala ya upelelezi pia! Ndio maana zikibainika Dawa ni moja tu kuangushwa!
Ukiona wamesema hawakitowi juwa ni Salam izo!
Sent using Jamii Forums mobile app