Iran wazindua "balozi wa kifo"

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,139
Iran imezindua ndege inayoenda yenyewe bila rubani huku ikiwa na mabomu yakwenda km 1000
ndege hiyo imepewa jina la balozi wa kifo ni kwa ajili ya kuweka saawa mambo yake na hasa
kwa yoyote atakaelazimisha kuingilia maslahi ya irani

USA be aware
 
Back
Top Bottom