abuu mwasiti
Member
- Dec 13, 2018
- 65
- 75
Kiongoz saiv unanikwaza San Tena San, ulikua unatupa main huku mpaka nasisimka kaka yaan unauchambuzi usio nakifan Sema saiv huonekan kabisa kiongoIran is Aryan
Kiongoz saiv unanikwaza San Tena San, ulikua unatupa main huku mpaka nasisimka kaka yaan unauchambuzi usio nakifan Sema saiv huonekan kabisa kiongoIran is Aryan
Iran has again warned regional dictators
If any country in Persian Gulf - #UAE #SaudiArabia and others allow US military installations to be used in any attack on Iran THOSE REGIMES WILL BE ENDED - They must pull back now
- Prof Mohamad Marandi
#AxisOfResistance #IranAttacks Nardeep Pujji on Twitter
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja tuchague kwanza watawala..Kiongoz saiv unanikwaza San Tena San, ulikua unatupa main huku mpaka nasisimka kaka yaan unauchambuzi usio nakifan Sema saiv huonekan kabisa kiongo
Dah! Kumbe jamaa ni hatari.Nimeona taarifa BBC Jana Iran ninchi ya13 dunian kiuwezo mkubwa wakijeshi, kwaupande wamashariki yakati ameitupa uturuki Saudia rabia mpka na israil, hapo Sasa ndouone nchi ya Iran ilivo kiuhalisia tofaut naushabik unaendelea hapa jukwaan
Sawa sawa kabisaNimeona taarifa BBC Jana Iran ninchi ya13 dunian kiuwezo mkubwa wakijeshi, kwaupande wamashariki yakati ameitupa uturuki Saudia rabia mpka na israil, hapo Sasa ndouone nchi ya Iran ilivo kiuhalisia tofaut naushabik unaendelea hapa jukwaan
SahihiPia marekan ameshindwa vibaya San na Iran sirya, hii vita ya sirya ndovita ilikua inaamua mustakabal wamashariki yakat ninan mwenye nguvu kwasababu Saudia RABIA, UAE, QATQR, BAHREIN, nawashirika wote wa marekan kwaupande wamagharibi lakin angalia vita ilivopiganwa kwaakili yahaliyajuu na iran nataka nikwambie Iran nimafundi wavita vya ardhin wanauwezo nambinu zahaliyajuu na ndomana walivibadilisha vita pale sirya
Nafikir kwawale wanzang wakiislam mankumbuka vita vya handaki alivopigana mtume wetu S. W. A. mbinu hii alipewa na swahaba mmoja akiitwa Salman AL farsii huyu alikua nimuiran ndoman aliitwa alfarsii maana yake nimfrus wafrusi ndowairan, Hawa jamaa nitofauti kabisa natunavowafikiria