Iran wamejitafutia matatizo

I don't care what are you talking about ignorant seem to me. kwa hiyo mnaniona mimi tu humu ndio mjuaji, hao wengine hawajui? mnanipa sifa za ajabu sana ambazo sina. Mmeambiwa Trump kaikejeli iran kuwa imeipiga vema israel na nyie koboza wa mchambawima mnakenua tu kuwa kobazi mkuu duniani kaibonda israel. Someni saikolojia za matamshi na kauli za watu mtaelewa wanachomaanisha
 
Unatembea na kichwa kitupu wewe,uwe unafuatilia International events,ndio maana hua mnaitwa Kondoo.
 
Unatembea na kichwa kitupu wewe,uwe unafuatilia International events,ndio maana hua mnaitwa Kondoo.
huoni kuna uzi unaambiwa trump kakejeli uwezo wa iran, hajasifia, hebu kausome shaikh. Na mimi nina maoni yangu kuhusu mambo mbalimbali yanayojadiliwa humu, huwa sifuati mkumbo kama nyie
 
Uislam ni dini yenye kasoro nyingi na ukatili mkubwa, kwa maelezo yako wanauwana wao kwa wao, je wana tofauti gan na hao unawaita wapagani? Mbona kama wapagani ni bora kuliko ninyi
 
huoni kuna uzi unaambiwa trump kakejeli uwezo wa iran, hajasifia, hebu kausome shaikh. Na mimi nina maoni yangu kuhusu mambo mbalimbali yanayojadiliwa humu, huwa sifuati mkumbo kama nyie
Kwani huo uzi umeanzishwa na Trump ndio kasema alimaanisha nini?

Kwahiyo kama mtu mwingine akianzisha uzi mwingine na akasema Trump alimaanisha kweli hakufanya mzaha,wewe utamuamini yupi kati ya hao waleta nyuzi wawili?

Wewe jamaa mbona unakua mjinga kiasi hicho? Kumbe reference yako ni uzi ulioanzishwa JF na kafiri mwenzako aliyeamua kujifariji sio?
 
kabla ya uzi huo haujaletwa tayari mi nilishaona kauli ya trump ni kichekesho tu. Amekuja mwingine kudadavua zaidi kauli ya trump na kuonekana ni ya mzaha na kejeli kwa iran. Usipende kunidharau maoni yangu husaidia wengine kuchimba na kudadavua zaidi katika nyuzi zao, mi huandika kidogo tu, wapo wanaoandika in deep and wide, parallel and perpendicular
 
Kauli za mzaha wakati Tel Aviv na Haifa zimevunjwa vunjwa?

Kauli ya mzaha wakati serikali ya Israel imepiga marufuku waandishi wa habari na raia kupiga picha au kuchukua clip maeneo yaliyo athiriwa? Imepiga marufuku waandishi wa habari ili kuficha udhaifu wao,

Mbona hii kitu ni simple tu hata kwa mtoto wa darasa la pili kutambua hilo?

Kondoo wa Bwana akili yako imelala usingizi,weka akili yako huru ili utambue mambo,toka kwenye huo mnyororo uliofungwa wa kudadavua kila kitu kwa mahaba ya udini,hapo ukute akili yako inakuongopea kua Waisrael ni wakristo wenzako coz ndio mneaminishwa hivyo!!
 
Afghani-Stan.......Stan( Shetani)
 
Tayari Iran wamejaa kwenye mfumo, Trump anakwenda kumnyakuwa Ayattollah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…