Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 8,988
- 11,862
Lengo la Israel ni kutaka kutengeneza fitina ndani ya Iran ili kutengeneza mazingira ya utawala wa sasa kupinduliwa.
Utawala huu wa Kiislam uliingia kwa mapinduzi ya 1979 (wakati sisi tuko busy na Idd Amin). Kabla mwaka 1953 Marekani na ulaya walisaidia mapinduzi yaliyo uweka utawala wa kifalme. Hivyo kabla ya 1979 Iran haikuwa Taifa la Kiislam kama sasa.
Ndio maana Israel haui raia wala hashambulii makazi ya raia. Ndio maana wachambuzi wengi wanafikiri Israel anapigwa. Hapana, Israel anataka kuwatumia watu wa Iran kama mtaji wake wa kuitoa serikali ya sasa madarakani.
IRAN KWENYE BIBLIA.
Wanaitwa Waajemi. Hapa ndipo Haran na Mesopotamia. Ndipo nyumbani kwa Ibrahim. Lakini Mungu alimuondoa Hapa Ibrahim na kumpeleka Kanaan (Palestine).
Nakukumbusha IRAN SIO WAARAB BALI NI WAAJEMI. Wanachukua asili ya Ulaya mashariki (wana mfanano na waturuki). Nyongeza: Ukiona nchi za Ulaya Mashariki zinaishia na Neno "Stan" mwisho hao ni waajemi (mfano afghani-Stan).
UWEZO WAO WA KIVITA
Hawa waliishawahi kuitawala Dunia.
Hawa ndio waliwapiga Israel na kulivunja hekalu kabla halijajengwa Upya (kabla ya Kuja kwa Bwana Yesu).
Ni watu wa Vita. Vita yao huwa haiishi mpaka wamepigika kwelikweli. 1980 -1990 walikuwa busy kupigana na Iraq. Miaka kumi! Na baada ya kuchoka kupigana (mshindi hakupatikana) wakaamua kugeukia kupigana na mataifa mengine. Iraq akimchokoza Marekani na Iran akianzisha vikundi vya kigaidi.
Makundi yote makubwa ya Kigaidi mfadhili wao ni Iran.
Migogoro ya Kidini.
Iran ni Taifa adui na nchi nyingi za kiislam. Mojawapo ni Saudi Arabia. Aina ya uislam ulioko Iran ni Shia. Hawa wanaaminika ni 10% tu ya waislam wote. Hawa ndio wale imani kali. Saudia ni Sunni. Hawa wapole. Kwa hiyo popote ukisikia Waislam wenye msimamo mkali jua ni Shia kutokea Iran. Ndio maana usishangae SAUDI ARABIA NA JORDAN kuwa upande wa Israel.
Ni taifa adui wa Uislam
Kuna kitu cha ajabu kuhusu Iran. Mataifa yasiyotaka dini au kuamini katika Mungu ndio marafiki wakubwa wa Iran. Korea Kaskazini, China, Urussi hawaamini katika Mungu. Utengenezaji wa silaha zake unapata usaidizi kutoka kwa hawa wapagani. HUWEZI SIKIA TAIFA LA KIISLAM LIKIMSAIDIA IRAN TOFAUTI NA VIKUNDI VYA KIGAIDI! Hivyo yawezekana ndio maana Shia wa Iran wanaongoza kwa kuua Waislam wenzao.
Utawala huu wa Kiislam uliingia kwa mapinduzi ya 1979 (wakati sisi tuko busy na Idd Amin). Kabla mwaka 1953 Marekani na ulaya walisaidia mapinduzi yaliyo uweka utawala wa kifalme. Hivyo kabla ya 1979 Iran haikuwa Taifa la Kiislam kama sasa.
Ndio maana Israel haui raia wala hashambulii makazi ya raia. Ndio maana wachambuzi wengi wanafikiri Israel anapigwa. Hapana, Israel anataka kuwatumia watu wa Iran kama mtaji wake wa kuitoa serikali ya sasa madarakani.
IRAN KWENYE BIBLIA.
Wanaitwa Waajemi. Hapa ndipo Haran na Mesopotamia. Ndipo nyumbani kwa Ibrahim. Lakini Mungu alimuondoa Hapa Ibrahim na kumpeleka Kanaan (Palestine).
- Daniel, Nehemiah , Esther walikuwa hapa uhamishoni. Ndipo vitabu vyao viliandikwa.
- Nebkadneza, Belshaza na Dario ndio wafalme wa hapa.
- Meshak Shedrak na Abednego walitupiwa tanuruni wakiwa hapa!
Nakukumbusha IRAN SIO WAARAB BALI NI WAAJEMI. Wanachukua asili ya Ulaya mashariki (wana mfanano na waturuki). Nyongeza: Ukiona nchi za Ulaya Mashariki zinaishia na Neno "Stan" mwisho hao ni waajemi (mfano afghani-Stan).
UWEZO WAO WA KIVITA
Hawa waliishawahi kuitawala Dunia.
Hawa ndio waliwapiga Israel na kulivunja hekalu kabla halijajengwa Upya (kabla ya Kuja kwa Bwana Yesu).
Ni watu wa Vita. Vita yao huwa haiishi mpaka wamepigika kwelikweli. 1980 -1990 walikuwa busy kupigana na Iraq. Miaka kumi! Na baada ya kuchoka kupigana (mshindi hakupatikana) wakaamua kugeukia kupigana na mataifa mengine. Iraq akimchokoza Marekani na Iran akianzisha vikundi vya kigaidi.
Makundi yote makubwa ya Kigaidi mfadhili wao ni Iran.
Migogoro ya Kidini.
Iran ni Taifa adui na nchi nyingi za kiislam. Mojawapo ni Saudi Arabia. Aina ya uislam ulioko Iran ni Shia. Hawa wanaaminika ni 10% tu ya waislam wote. Hawa ndio wale imani kali. Saudia ni Sunni. Hawa wapole. Kwa hiyo popote ukisikia Waislam wenye msimamo mkali jua ni Shia kutokea Iran. Ndio maana usishangae SAUDI ARABIA NA JORDAN kuwa upande wa Israel.
Ni taifa adui wa Uislam
Kuna kitu cha ajabu kuhusu Iran. Mataifa yasiyotaka dini au kuamini katika Mungu ndio marafiki wakubwa wa Iran. Korea Kaskazini, China, Urussi hawaamini katika Mungu. Utengenezaji wa silaha zake unapata usaidizi kutoka kwa hawa wapagani. HUWEZI SIKIA TAIFA LA KIISLAM LIKIMSAIDIA IRAN TOFAUTI NA VIKUNDI VYA KIGAIDI! Hivyo yawezekana ndio maana Shia wa Iran wanaongoza kwa kuua Waislam wenzao.