Hakuna lolote ndo maana USA Trump anaropoka ropoka tu,Iran wanamsoma tu.Ila tuombe amani.Fikiria raia wa Iraq ,Afghastan wanavyoishi.Kila binadamu anadeserve maisha katika sehemu yenye amani.Endeleeni kumdanganywa Iran kuwa amerika ni zero,atapigwa achakae bure!!!
Ndo maana marekani anatumia huo udhaifu wao.Wao kwa wao wanaoneana wivu.Divide and Rule.Siku zote usiwaamini waarabu ni wanafiki sana
Umemsahau US ni member wa NATOIran vs. US military capabilities:
Budget
Iran: $6 billion
US: $716 billion
Troops
Iran: 523,000
US: 1.3 million
Aircraft
Iran: 509
US: 13,398
Navy vessels
Iran: 398
US: 415
Nukes
Iran: not known
US: 6,185
Missile range
Iran: 3,000 km
US: Any place on Earth
View attachment 1313146
Saudi Arabia anamchongea Iran, Iraq hampendi Saudi Arabia, yaani ni unafiki tuNdo maana marekani anatumia huo udhaifu wao.Wao kwa wao wanaoneana wivu.Divide and Rule.
Iran alikuwa na nafasi nzuri sana kumpiga MMarekani sababu wameuwa mtu mhimu sana kwao, tatizo linakuja uwezo hana pamoja na kuwa anajua sana kubwabwaja maneno mengi!!!!!!!Hakuna lolote ndo maana USA Trump anaropoka ropoka tu,Iran wanamsoma tu.Ila tuombe amani.Fikiria raia wa Iraq ,Afghastan wanavyoishi.Kila binadamu anadeserve maisha katika sehemu yenye amani.
Hivi kweli mkataba wa NATO unasemaje member akiwa vitani? HahahahaMarekani hawezi kutishwa na kelele za vyura
Hakuna vita hapoJamaa wamechukizwa sana na hilo tukio na wana haki ya kuwa hivyo, ila sidhani kama wanaweza ingia vitani na USA, hao waharibifu wana nguvu kubwa sana ya ndani, bado na nchi washirika wake, naona bora Iran wanywe maji tu, hasira zao zitulie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na vikwazo vyote hivyo vya uchumi.Ila Iran lazima atalipa tu tena kupitia Hezbollah au alshabaab,atawapiga marekan popote pale,tena nahisi anataka patulie tu kwanza.Iran alikuwa na nafasi nzuri sana kumpiga MMarekani sababu wameuwa mtu mhimu sana kwao, tatizo linakuja uwezo hana pamoja na kuwa anajua sana kubwabwaja maneno mengi!!!!!!!
Wamesemaje kwaniAngalieni Aljazeera muone waziri mkuu wa Iraq anaongea,kiongozi wa Hezbollah kishaongea.USA sasa inabidi wajitafakari.
Yaani kina Saudi wangekuwa na akili walitakiwa waungane na Iran,USA haitakii mema Middle east.Iran sasa najua lazima atumie akili kubwa sana.Migogoro ni ya miaka na miaka sasa,Iran sasa anamfahamu vizuri USA.Kumbuka vita vya ghuba ya uajemi hawa Iran walikuwa pro America katika kuivamia Iraq,look at now Iran wamekua adui wa USA.
Huhitaji kuwa rocket scientist kuelewa kuwa USA ni chokochoko mkubwa.
kawaida ya waarabu kubwabwaja, washatiwa kidole kama wanaume wachomoe.Angalieni Aljazeera muone waziri mkuu wa Iraq anaongea,kiongozi wa Hezbollah kishaongea.USA sasa inabidi wajitafakari.
Na ndiyo hata base ya America inakuwa Saudi Arabia.Saudi visima vyake vya mafuta vilipigwa na Iran saudia yupo nyuma ya mmarekani kuipa kichapo Iran
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani iran itakuwa vumbi hii vita itakuwa mbayaNa ndiyo hata base ya America inakuwa Saudi Arabia.
NATO HAIWEZI KUPIGANA NA IRAN! NEVER. Iran mwenyewe anajua hilo...labda vita ya jihad na sio combat warNa ndiyo hata base ya America inakuwa Saudi Arabia.
Nafikiri US wanaitafuta Afghanistan nyingine kwani huko Taliban wameshindikana sasa Iran itakuwa ni shida ingawa itabomolewa vibaya miundo mbinu lakini Marekani hatshinda vita kama Syria ambako wameamua kuondoka kimya kimya.Kama Iran itajichanganya itapigwa mpaka itachakaa!!!!!
UmenenaMkuu britanicca asante Kwa data hii maana wengi wetu tunashabikia Kwa mrengo wa Imani Fulani ya dini bila kujua uwezo na historia ya US hasa Kwenye mambo ya vita.
Tukumbuke kuwa hawa US hawafanyi vitu vyao Kwa kukurupuka hata siku moja ndiyo maana Kwa muda mrefu wamemfanyia Iran trade sanctions ili adhoofike kiuchumi,miezi 3 iliyopita wananchi wa Iran walikuwa wanaandamana kushinikiza raisi wao ang'atuke madarakani Kwa sbb ya Hali mbaya ya uchumi wao.
Hata Saudi Arabia nao Wana mgogoro na Irani juu ya mapigano ya nchini Yemen na wanatamani Iran ipigwe na kusambaratika Kutokana na Imani zao za kidini,ukiona mpaka huyo kamanda wa Iran anauwawa tujue kabisa kuwa nchi ilishajipanga Kwa matokeo yoyote yale
mambo ya ‘fire and fury’ in Trump’s voice.Yani iran itakuwa vumbi hii vita itakuwa mbayaView attachment 1313164
Sent using Jamii Forums mobile app
Irani kacholozwa aache kubwabwaja alipize kisasi sisi tujue nani yuko ngangari!!!Nafikiri US wanaitafuta Afghanistan nyingine kwani huko Taliban wameshindikana sasa Iran itakuwa ni shida ingawa itabomolewa vibaya miundo mbinu lakini Marekani hatshinda vita kama Syria ambako wameamua kuondoka kimya kimya.
Anachofanya Mmarekani ni kuvuruga tu stability ya Waarabu ili waendelee kuwa ATM yake.