Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,458
Zipo tuhuma nyingi zinasema Iran ndio wanaosapoti kundi la wana uamsho wa zanzibar kujitenga na Tanzania bara.....kipindi cha nyuma pia minongóno ilishawai tokea kuwa Iran inashirikiana na Tanzania kupitisha uranium toka Congo through Dar port kwenda kutengeneza nuclear Kule iran (wikileaks)....Hivi ukweli ni upi? kama kweli, Tanzania tunampango gani, kuanza kushirikiana na maadui wa Iran haraka iwezekanavyo kama reprisal au tutawaacha hawa wairan watuvuruge na muungano wetu? mwenye news please!