Hakika, walidhania wanakombolewa kumbe walikuwa wanawekwa kati, bora hata ya shah aliwalegezea kidogoKama utawala wa Shah ulianguka sababu ya kimapiduzi na kuweka utawala wa ayatollah Khomeini madarakani, basi naye atakinywea kikombe cha mapinduzi
Shah chini ya Pahlavi wakati huo haikuwa na ukatili wa hii regime ya so called Islamic state....Hakika, walidhania wanakombolewa kumbe walikuwa wanawekwa kati, bora hata ya shah aliwalegezea kidogo
Uzi wenu wa kutamba makafiri
Uwanja wenu
Waajemi wa Buza kwa Mshana Jr hayo hayatuhusuView attachment 3522730
Tangu jana kuna maandamano ya kupinga mamlaka ya IRGC.
Uchumi umekuwa mkali mnoo lakini zaidi manyanyaso ya agents wa ayatollah sio ya kiovu sana.
Its funny kwamba iran inapesa ya kufadhili jihad na ugaidi middle east ila haina pesa ya kulisha waajemi
Chanzo cha habari ni wapi???????????????????????????View attachment 3522730
Tangu jana kuna maandamano ya kupinga mamlaka ya IRGC.
Uchumi umekuwa mkali mnoo lakini zaidi manyanyaso ya agents wa ayatollah sio ya kiovu sana.
Its funny kwamba iran inapesa ya kufadhili jihad na ugaidi middle east ila haina pesa ya kulisha waajemi
Ayatollah atokee hadharani na awaulize ..."who are you"...?Watatulia Tu.View attachment 3522730
Tangu jana kuna maandamano ya kupinga mamlaka ya IRGC.
Uchumi umekuwa mkali mnoo lakini zaidi manyanyaso ya agents wa ayatollah sio ya kiovu sana.
Its funny kwamba iran inapesa ya kufadhili jihad na ugaidi middle east ila haina pesa ya kulisha waajemi
ππππView attachment 3522756
Istaadh habari .. hustaadh... Asalamaleku sheqheeee
Mara ya mwisho tulivyoonana,alisema anapendelea masikio na pua zilizokaangwa vema na kutiwa hiliki na amdala yaasin.Mashaallah=Maisha Raha!ππππ
Aisee nimecheka sanaaa
Ngoja nimuite mwana wangu secretarybird amuonjeshe kitimoto
View attachment 3522759
Chanzo cha habari ni wapi???????????????????????????
Kamzigo haka kametuliaπππ€ͺπ€ͺπππππ
Aisee nimecheka sanaaa
Ngoja nimuite mwana wangu secretarybird amuonjeshe kitimoto
View attachment 3522759
Upo Swahili Sana.Kamzigo haka kametuliaπππ€ͺπ€ͺπ
πππMara ya mwisho tulivyoonana,alisema anapendelea masikio na pua zilizokaangwa vema na kutiwa hiliki na amdala yaasin.Mashaallah=Maisha Raha!
Inabidi tumchukue bwana Moisemusajiografii tuifumue mkesho wa new yearπ, pembeni ugali mkubwaaKamzigo haka kametuliaπππ€ͺπ€ͺπ
Kuu la makafiri ELI COHEN
Huyo ndiyo mchinjaji wetu.Huwa anamkanyaga kitibaridi kwa madaha Sana kabla ya kumuelekeza kibla.Amejaaliwa.