Iran imejichokea kupitiliza

Mtoa mada. Watu wamekusakama sana.Ulijipanga kwa hii vita au ulipitiwa tu ukaamua kuanzisha uzi??
Report ya Jaji Chande ilinichanganya.
Ila Viongozi wa Iran wameuwawa kama Nzige.
Mojtaba nasikia miguu kwishey uso umesambaratishwa kama yuko hai ni bahati sana.
 
Iran wanajipa moyo tu, kiukweli uma-much know waliokuwa nao toka 1979 mpaka 2025 umepotezwa wote. Ile combination ya myahudi na mmarekani katika kumtwanga imewapotezea sana mwelekeo wa maisha yao. Leo hii ikitangazwa kwamba vita imeisha ndipo watakapoanza kusikilizia maumivu yaliyotokana na vita kwenye maungo yao.
 
Hasara hii waliyopata ni ndogo kuliko ya vita ya Iraq iliyopiganwa miaka nane.
Usisahau Marekani ana balozi zake 5 zimeteketezwa mashariki ya kati,kambi 27 zimeunguzwa,uwekezaji mwingi wa kiuchumi mashariki ya kati wa Marekani umeharibiwa.
Kiufupi White house wenyewe wamedai uwekezaji wa miaka 50 walioufanya mashariki ya kati umeteketea.
Wakati wewe unaropoka Iran imepoteana wenzako wanarudisha hasara kwa kutoza ushuru mfereji wa hormuz na kuzidisha biashara kupitia Caspian sea na corridor za Pakistan. Hivyo upunguze kuropoka.
 
Kwahio tuwape muda gani ili kusadikisha huu utabiri wako ewe yahaya hussein
 
Baada ya kuuwawa zaidi ya viongozi 60 wa Iran leo mgao wa umeme umeanza rasmi.

VIongozi wa Iran waendelee kukaza fuvu huku nchi ikiendelea kuangamia.
 
Mgao wa chakula umeshika kasi.
Maji yameadimika kama almasi.
 
Ya kweli haya?
 
Matokeo ya kuwa na one sided informations ndiyo kama haya sasa.

Umeongea kitu ambacho hata haukielewi.

Usichokijua ni kwamba Marekani amepoteza ushawishi hapo Mashariki ya Kati.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…