Iran ilionywa iache kuua raia, ikashupaza shingo. Marekani waagiza jeshi lake liondoke Qatar

Iran ilionywa iache kuua raia, ikashupaza shingo. Marekani waagiza jeshi lake liondoke Qatar

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
33,476
Reaction score
53,335
Baadhi ya wafanyakazi wameelekezwa kuondoka katika kambi ya kijeshi ya Marekani ya Al Udeid nchini Qatar ifikapo jioni ya Jumatano, kwa mujibu wa ripoti ya shirika la habari la Reuters lililonukuu wanadiplomasia watatu.

Ripoti hiyo inakuja wakati Marekani ikitoa onyo kuwa inaweza kuingilia kati maandamano yanayoendelea nchini Iran. Hakujatolewa tamko rasmi kutoka ubalozi wa Marekani mjini Doha. Al Jazeera imeliandikia Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar kuomba maoni yao.

Al Udeid ni kambi kubwa zaidi ya kijeshi ya Marekani katika Mashariki ya Kati na inahifadhi takribani wanajeshi 10,000.

Kambi hiyo yenye kubwa wa hekta 24 iliyopo jangwani nje ya mji mkuu Doha, ni makao makuu ya mbele ya Jeshi la Marekani la Central Command, linalosimamia operesheni za kijeshi za Marekani katika eneo kubwa linaloanzia Misri upande wa magharibi hadi Kazakhstan upande wa mashariki.


Qta.png


===================================

Some personnel have been advised to leave the US military's Al Udeid Air Base in Qatar by Wednesday evening, three diplomats told Reuters, amid warnings from Washington that it could intervene to protect protesters in Iran.

The US embassy in Doha had no immediate comment, and Qatar's Foreign Affairs Ministry did not immediately respond to a Reuters request for confirmation or comment.

Al Udeid is the Middle East's largest US base, housing around 10,000 troops.

Source: Al Jazeera
 
Baadhi ya wafanyakazi wameelekezwa kuondoka katika kambi ya kijeshi ya Marekani ya Al Udeid nchini Qatar ifikapo jioni ya Jumatano, kwa mujibu wa ripoti ya shirika la habari la Reuters lililonukuu wanadiplomasia watatu.

Ripoti hiyo inakuja wakati Marekani ikitoa onyo kuwa inaweza kuingilia kati maandamano yanayoendelea nchini Iran. Hakujatolewa tamko rasmi kutoka ubalozi wa Marekani mjini Doha. Al Jazeera imeliandikia Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar kuomba maoni yao.

Al Udeid ni kambi kubwa zaidi ya kijeshi ya Marekani katika Mashariki ya Kati na inahifadhi takribani wanajeshi 10,000.

Kambi hiyo yenye kubwa wa hekta 24 iliyopo jangwani nje ya mji mkuu Doha, ni makao makuu ya mbele ya Jeshi la Marekani la Central Command, linalosimamia operesheni za kijeshi za Marekani katika eneo kubwa linaloanzia Misri upande wa magharibi hadi Kazakhstan upande wa mashariki.

===================================

Some personnel have been advised to leave the US military's Al Udeid Air Base in Qatar by Wednesday evening, three diplomats told Reuters, amid warnings from Washington that it could intervene to protect protesters in Iran.

The US embassy in Doha had no immediate comment, and Qatar's Foreign Affairs Ministry did not immediately respond to a Reuters request for confirmation or comment.

Al Udeid is the Middle East's largest US base, housing around 10,000 troops.
Source ya hii habari,ni sawa na mtu mwenye akili aone taarifa"Tundu Lissu ashauriwa aondoke nchini sababu ya uhaini wake"halafu hio taarifa ipostiwe gazeti la uhuru
Iran ni energy superpower,
Kwneye Kila lita 10 ya petrol na dizeli duniani Iran inamiliki lita 1
Iran Missile system is the largest in the middle east
Iran ndio inasupply drones zinazoteketeza Mali za NATO,zaidi ya nchi 20 pale Ukraine
 
Source ya hii habari,ni sawa na mtu mwenye akili aone taarifa"Tundu Lissu ashauriwa aondoke nchini sababu ya uhaini wake"halafu hio taarifa ipostiwe gazeti la uhuru
Iran ni energy superpower,
Kwneye Kila lita 10 ya petrol na dizeli duniani Iran inamiliki lita 1
Iran Missile system is the largest in the middle east
Iran ndio inasupply drones zinazoteketeza Mali za NATO,zaidi ya nchi 20 pale Ukraine

Nchi inakwenda kukombolewa kutoka kwa uzombi wa hiyo dini.
 
Source ya hii habari,ni sawa na mtu mwenye akili aone taarifa"Tundu Lissu ashauriwa aondoke nchini sababu ya uhaini wake"halafu hio taarifa ipostiwe gazeti la uhuru
Iran ni energy superpower,
Kwneye Kila lita 10 ya petrol na dizeli duniani Iran inamiliki lita 1
Iran Missile system is the largest in the middle east
Iran ndio inasupply drones zinazoteketeza Mali za NATO,zaidi ya nchi 20 pale Ukraine
The Lice-Cum-Jihadist.
 
Baadhi ya wafanyakazi wameelekezwa kuondoka katika kambi ya kijeshi ya Marekani ya Al Udeid nchini Qatar ifikapo jioni ya Jumatano, kwa mujibu wa ripoti ya shirika la habari la Reuters lililonukuu wanadiplomasia watatu.

Ripoti hiyo inakuja wakati Marekani ikitoa onyo kuwa inaweza kuingilia kati maandamano yanayoendelea nchini Iran. Hakujatolewa tamko rasmi kutoka ubalozi wa Marekani mjini Doha. Al Jazeera imeliandikia Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar kuomba maoni yao.

Al Udeid ni kambi kubwa zaidi ya kijeshi ya Marekani katika Mashariki ya Kati na inahifadhi takribani wanajeshi 10,000.

Kambi hiyo yenye kubwa wa hekta 24 iliyopo jangwani nje ya mji mkuu Doha, ni makao makuu ya mbele ya Jeshi la Marekani la Central Command, linalosimamia operesheni za kijeshi za Marekani katika eneo kubwa linaloanzia Misri upande wa magharibi hadi Kazakhstan upande wa mashariki.


View attachment 3529769

===================================

Some personnel have been advised to leave the US military's Al Udeid Air Base in Qatar by Wednesday evening, three diplomats told Reuters, amid warnings from Washington that it could intervene to protect protesters in Iran.

The US embassy in Doha had no immediate comment, and Qatar's Foreign Affairs Ministry did not immediately respond to a Reuters request for confirmation or comment.

Al Udeid is the Middle East's largest US base, housing around 10,000 troops.

Source: Al Jazeera
Wewe punga wa Trump, msikie basha wako alivyoufata mkia

 
Source ya hii habari,ni sawa na mtu mwenye akili aone taarifa"Tundu Lissu ashauriwa aondoke nchini sababu ya uhaini wake"halafu hio taarifa ipostiwe gazeti la uhuru
Iran ni energy superpower,
Kwneye Kila lita 10 ya petrol na dizeli duniani Iran inamiliki lita 1
Iran Missile system is the largest in the middle east
Iran ndio inasupply drones zinazoteketeza Mali za NATO,zaidi ya nchi 20 pale Ukraine
Una utani sana wewe 😁
 
Ayatollah na utawala wake anakosea sana sana sana kuuwa, kubaka, kutesa na kuwanyima haki na amani Wairan...HATUKATAI NA HALINA UBISHI..KAMA TZ UG ETC ETC...
ILA, wanadai, the most savage, barbarian, violent, greedy, tyrant human being in this world, IS A WHITE MALE CAUCASIAN!
Debate and justify...
 
You will see the limits of US power. Hakuna kitu cha maana watafanya, this is an internal problem, it's a question of how many the gov is willing to liquidate
 
Back
Top Bottom