Iran sio level za US ht siku moja....na km siku wakija kupgana nakuhakikishia Iran hatorusha ndege yke ht moja mpk kweny anga LA marekan....nakkumbuk 2013 km sikosei Iran alituma ndeg yke ya kijeshi(,advanced fightet jet wanavyoiita wenyew but nimesahau jina)kwny mpk wa US,US akatuma F22 raptor kwenda kuicounter,f22 ikaijam ile ndege ya Iran na ruban wa raptor akawa anaizunguka ile ndege ya Iran mpk chini kuangalia silaha ilizonazo bila pilot wa Iran kujua llote baadae pilot wa raptor alipomaliza yke akaiachia ikaondoka zake