Iran has killed all spies

Na mawazo ya Aina hii ndio nayaona pale Hamas wakirusha maroket kwenda Israel (ingawa nadhara ni madogo) watu wanakaa kimya au wengine wanafurahi ila wakijibiwa na vifo vikawa vingi watu wanailaani Israel ..
*mwingine anakuja na simple argument kuwa mbona Israel hawajafa bila kujua kuwa wao wanawakinga RAIA wao kwa namna nyingi ikiwemo bomb shelter na air defense.. Wakati wao wanarusha ovyo maroket wakijua kuwa indapo kutajibiwa mashambulizi basi raia zao watukutwa bila ulinzi hivyo watakufa kama kuku..hii ndio reckless decision inayofanywa na haya makundi ya wanamgambo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeelewa hivi; abiria 63 walikuwa wa kutoka katika hiyo nchi. Iran waligundua kuwa kati ya hao abiria 63 wa nchi hiyo, kulikuwema na hao spies wa USA. Na siyo abiria 63 walikuwa spies.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo rubani mjinga kiasi gani had arudishe ndege? Kwa hao spies kupanda hiyo ndege lazima walishaset kila kitu kwamba wakiruka tu uhakika wa safari na watakuwa salama. Hii ndo dunia bhana.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una uhakika kambi za Iraq zinazo-host wanajeshi wa Marekani zina mifumo ya kutungua makombora ya kimarekani kama Patriot,AEGIS au THAAD?

*navyojua Mimi hakuna mifumo hiyo huko Iraq(kwenye kambi hizi)

Sent using Jamii Forums mobile app
Inaingia akilini askari hao wawe kwenye kambi "zisizo na ulinzi" wakati tete kama huu? Kama ndivyo,huo ni uamuzi wa "kipumbavu" kufanywa.
 
Walilipa baadhi.
 
Kama ni kweli kitengo cha usalama cha marekani kiliruhusu wasafiri wote pamoja basi kuna haja ya kuwafanyia uchunguzi waliowatuma.
Ebu fikiria kwa nini Trump kesho yake baada ya kuanguka ndege hiyo...alikuja kujibu shambulizi la Iran kule Iraq kwa kuhema na kuonyesha uchovu wa kupindukia!! Kuna uwezekano...! Hivi yule Gina wa si ai ae mbona haonekani kwenye viunga,!? Asije akawa amedakwa kwa uzembe !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…