Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
wananikumbusha pilika pilika za sadamu huseni muda mfupi kabla ya kichapo, yetu macho.
Hivi ni nini kinachowafanya mushabikie Marekani kiasi hicho?
Unafiki...
CCM ikiua ndugu zetu Arusha ili kulinda madaraka, mnajifanya wanaharakati wa haki za binadamu,
Amerika ikiua watu My Lai na Hadithia ili kupora mafuta, mnashangilia...
Viumbe wa aina gani nyie?
Kama ndivyo mioyo yenu ilivyo, na MUNGU MWENYEZI AWALAANI DAIMA!