Iran Finalizes Bill to Ban EU Oil Exports

wananikumbusha pilika pilika za sadamu huseni muda mfupi kabla ya kichapo, yetu macho.

Hivi ni nini kinachowafanya mushabikie Marekani kiasi hicho?
Unafiki...
CCM ikiua ndugu zetu Arusha ili kulinda madaraka, mnajifanya wanaharakati wa haki za binadamu,
Amerika ikiua watu My Lai na Hadithia ili kupora mafuta, mnashangilia...
Viumbe wa aina gani nyie?
Kama ndivyo mioyo yenu ilivyo, na MUNGU MWENYEZI AWALAANI DAIMA!
 
Ila hii tabia ya kupigana bit siipendi yaani ilani kuwa na nuclear ni issue ila USA na wengine sawa!
Sasa hapo autonomy ya nchi iko wapi?
Iran komaa tuu maana najua Iran is a sovereign state inastahili kufanya maamuzi yake.
Alafu USA bana wanapenda deal na vita za mbali na kwao ili ata kama madhara yatokee uko uko mbali.
Huwezi kuta USA anamkomalia Cuba anajua ni pua na mdomo
 
In December 2011 Iran's navy began a 10-day exercise in international waters near the strait.
The Iranian Navy Commander, Rear Admiral Habibollah Sayyari, stated that the strait would not be closed during the exercise;
Iranian forces could easily accomplish that but such a decision must be made at a political level
 
Hii itawaumiza hawa Iranians kuliko mnavyofikiria,hizo sanctions sio kama eti US will block meli za mafuta kuingia au kutoka Iran,zitaingia na kutoka as much watakavyotaka na hakuna mtu atazigusa,tatizo litakuja pale kwenye financial system inayo deal na oil transactions kwenye world markets,oil markets yote ni centralized na iko dominated na US with his allies na almost transaction zote ni petrodollar,sasa can you imagine unakuwa banned kwenye markets nzima?na uwezo wako wa transaction kutumia dollar unazuiwa vilevile,mbaya zaidi part ya hiyo ban itahusu any third part itakayofanya business na Iranians,i dont think Russia or Chinese wata risk kuharibu business na US kwa ajiri tuu ya mafuta ya Iran,chinese wanafanya billions of transaction na US ambayo Iran haifikii hata 1%...nina uhakika hata Tanzania wataacha kununua Irans oil ili kuepuka banking system yetu isiwe banned,Iranians wataweza kuuza oil yao kwa njia za panya kwa risk kubwa sana kwa wanunuzi ambao nina uhakika wata demand heavy discount,anyway sanctions kama hizi ndio zilimmaliza Saddam,Gaddaffi etc na hawa US they dont care wanaweza kukuwekea hizo sanctions mpaka utie akili,wanaosema Russia au Chinese hawatakubali inabidi muelewe oil markets inayo operate kwanza na mjue economy kubwa ya China inategemea US business.
 
Ndio mana napenda hapa JF nikija hapa nasoma vitu vingi sana naenda kulala niko safi kichwani...JF forever..
 
Iran ana jeshi kubwa na la kisasa sana msifikirie Iran ni Libya hawa jamaa jeshi lao lina nguvu kubwa na kila siku Russsia anawapa mbinu za kupigana za kisasa zaidi..US anajua sana kwamba akilianzisha na Iran atapata shida kubwa sana kuzima huo moto mana sasa itakua vita ya Dunia..someni utabiri kwenye kitabu cha ufunuo,,,hizi ni siku za mwisho..
 
Iran ana jeshi kubwa na la kisasa sana msifikirie Iran ni Libya hawa jamaa jeshi lao lina nguvu kubwa na kila siku Russsia anawapa mbinu za kupigana za kisasa zaidi..US anajua sana kwamba akilianzisha na Iran atapata shida kubwa sana kuzima huo moto mana sasa itakua vita ya Dunia..someni utabiri kwenye kitabu cha ufunuo,,,hizi ni siku za mwisho..
irani hawana kitu-hata russia kama sikuwa na ICBMs na nukes wangekuwa si kitu kwa USA.
iran ahata akiweka ligi na israel,patachimbika,na mwisho wa siku iran atakuwa loser
 
Hii itawaumiza hawa Iranians kuliko mnavyofikiria,hizo sanctions sio kama eti US will block meli za mafuta kuingia au kutoka Iran,zitaingia na kutoka as much watakavyotaka na hakuna mtu atazigusa,tatizo litakuja pale kwenye financial system inayo deal na oil transactions kwenye world markets,oil markets yote ni centralized na iko dominated na US with his allies na almost transaction zote ni petrodollar,sasa can you imagine unakuwa banned kwenye markets nzima?na uwezo wako wa transaction kutumia dollar unazuiwa vilevile,mbaya zaidi part ya hiyo ban itahusu any third part itakayofanya business na Iranians,i dont think Russia or Chinese wata risk kuharibu business na US kwa ajiri tuu ya mafuta ya Iran,chinese wanafanya billions of transaction na US ambayo Iran haifikii hata 1%...nina uhakika hata Tanzania wataacha kununua Irans oil ili kuepuka banking system yetu isiwe banned,Iranians wataweza kuuza oil yao kwa njia za panya kwa risk kubwa sana kwa wanunuzi ambao nina uhakika wata demand heavy discount,anyway sanctions kama hizi ndio zilimmaliza Saddam,Gaddaffi etc na hawa US they dont care wanaweza kukuwekea hizo sanctions mpaka utie akili,wanaosema Russia au Chinese hawatakubali inabidi muelewe oil markets inayo operate kwanza na mjue economy kubwa ya China inategemea US business.

Koba ulikuwa wapi?

Mbona unaandika kama umetoka jokofuni:lol:

China, India, Japan, South Korea wote hawajakubaliana na Maraekani juu ya hili suala la kuacha kununua mafuta ya Iran. Acha uvivu fanya utafiti kidogo mbona statements zao tayari zipo public....:A S-coffee:
 
Back
Top Bottom