Iran Fakes Space Monkey Launch...

Iran Fakes Space Monkey Launch...

Mkuu tunapaswa kuwa makini na propaganda za nchi za magharibi, kwani kazi ya Astronomer ni hipi? Si kutumia telescope kuangalia Galaxy- hawana utaalamu wowote katika nyanja za sayansi ya rocket, sasa hapa anawezaje kuongelea vitu vya kubuni tu, kwani telescope zake zinaweza kumonyesha kilicho ndani ya roketi za IRAN? Amekazania eti nyani wa kwanza ana mole na wa pili hana, anayasema hayo wakati picha inaonyesha waziwazi kwamba Nyani wa kwanza manyoya yake ya usoni yamevutwa mbele na wa pili yamevutwa nyuma, sasa hapo unawezaje kusema kwa uhakika kwamba hao ni nyani wawili tofauti? Wamekazania kuwasema vibaya wenzao lakini awasemi Merikani ilivyo hadaa Dunia kuhusu binadamu wa kwanza kutua mwezini, walifikia hatua ya kumdhibiti Niel Amstrong asizungumze chochote na wahandishi wa habari kuhusu kutua kwake mwezini mpaka imeingia kuburini yuko bubu katika hilo.

Wewe Umeshindikana hebu nipe jibu hizo picha iran wamekosea au wamepatia... ushageuka kama zombe ukizungumzia ccm na yeye analeta CDM Ukizungumzia JK na yeye analeta ya Slaa.... Wachana na Marekani JF tukizungumzia kitu tujaribu kustic na hicho hicho.... Jibu fasta Fake Monkey au lah.... ukijibu ndio tuendelee
 
Wewe Umeshindikana hebu nipe jibu hizo picha iran wamekosea au wamepatia... ushageuka kama zombe ukizungumzia ccm na yeye analeta CDM Ukizungumzia JK na yeye analeta ya Slaa.... Wachana na Marekani JF tukizungumzia kitu tujaribu kustic na hicho hicho.... Jibu fasta Fake Monkey au lah.... ukijibu ndio tuendelee

Maybe it is Monkey incarnate. It is not the same Monkey.
 
And what's the big deal, si mara ya kwanza Iran kufanya majaribio ya rocket zake kwa kupeleka wanyama angani, ilisha peleka panya buku na kobe, uliyajuwa hao?

Na imeshazinduwa ndege ya kivita mpya, umeiona? itazame hapa: PressTV - Iran president unveils Qaher-313 indigenous fighter jet

Semeni na hiyo ni kishaada siyo ndege:
ile ndege Fake isiyo paa isiyo na bomba za moshi n.k imetengenezwa kwa Gamba la Nyoka kama la CCM muhahahahaha
Hakuna haja ya kusema kishada sababu kishada kinaweza kukaa hewani na hiyo ya Iran haiwezi... zomba waislam wenzako wanaaibisheni sana... Hama Dini hiyo Yesu anakupenda
 
Last edited by a moderator:
LIES ARE PART OF POLITICAL LEGACY.Even the US lied to her people and the world about NEIL ARMSTRONG landing on the moon...its just a stance to draw political attention...
 
And what's the big deal, si mara ya kwanza Iran kufanya majaribio ya rocket zake kwa kupeleka wanyama angani, ilisha peleka panya buku na kobe, uliyajuwa hao?

Na imeshazinduwa ndege ya kivita mpya, umeiona? itazame hapa: PressTV - Iran president unveils Qaher-313 indigenous fighter jet

Semeni na hiyo ni kishaada siyo ndege:


mkuu mimi basi tu siipendi iran. hata nikisikia kesho wamegundua sayari ya 16 ina binadamu wa kijani bado sitaipenda tu nchi hiyo kwa sababu ya kutaka kila mtu duniani awe muislamu. I dont like these people kama mvi ya c.hooni vile.
 
Back
Top Bottom