STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,638
- 16,568
Recent Iran Explosions And Fires Timeline
1. June 25, Explosion and fire at Shiraz power station
2. June 25, Fire and massive secondary explosions at Khojir-Parchin missile factory east of Tehran
3. June 30, Fire and massive secondary explosions at Sina At’har 'Medical Clinic' in Tehran
4. July 2, Explosion and fire at Natanz nuclear centrifuge factory
5. July 3, Huge unexplained fire at Shiraz
6. July 4, Explosion and fire at Zargan-e Karaneh Iran power plant in Ahvaz in Khuzestan Iran
7. July 4, Chlorine gas leak at Karun petrochemical centre in Mahshahr, South of Ahwaz
8. July 4, More fires near Shiraz
9. July 6, Major explosion at IRGC owned Sepahan Boresh factory at Baghershahr south of Tehran
10. July 7, Apparent destruction of Yellow Cake Facility in Ardakan in central Iran
11. July 10, Multiple explosions, fires, and power failures near Karaz military sites, west of Tehran
Kawaulize Iran, siyo mimi. Kwani Syria, Irak, Yemen, Somalia, Congo, Afghanistan na kwingineko zimebaki majivu.
Sikama ambavyo trump alivyokana kwamba hakuna wanajeshi wa amerca waliokufa baada ya kushambuliwa na iran katika ile base yao iliyopo iraqHawawezi kukubali wataonekana wadhaifu huku wao wanataka waonekane imara.
Pole kwao.... Chamoto hawa waajemi huwa unawaamini sana ila naona wanateswa sana kwa kukosa uwezo wa kujilinda, hawajui namna ya usalama, wamejianika tu hovyoo.
Mmatumbi flani kashiba tambi za chumvi anaongea kama ivyo
Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
Exactly!Sikama ambavyo trump alivyokana kwamba hakuna wanajeshi wa amerca waliokufa baada ya kushambuliwa na iran katika ile base yao iliyopo iraq
Baada ya USA kumuua general Qaseem
Trump alikana - kwa sababu alikuwa na lengo la kuficha ukweli ili na wao wasionekane dhaifu
Sikama ambavyo trump alivyokana kwamba hakuna wanajeshi wa amerca waliokufa baada ya kushambuliwa na iran katika ile base yao iliyopo iraq
Baada ya USA kumuua general Qaseem
Trump alikana - kwa sababu alikuwa na lengo la kuficha ukweli ili na wao wasionekane dhaifu
Hahaa double standard nyingine bwanaWamarekani huwa sensitive sana kwa watu wao, yaani ufiche kitu kama hicho ndugu na jamii za hao wanajeshi wanaweza wakavuruga amani kwenye vyombo vya habari, kule sio kama hizi shitholes ambapo unaweza ukaficha hata maafa ya maelfu ya watu
Shughuli ndio kwanza imeanza!🤣🤣🤣Recent Iran Explosions And Fires Timeline
1. June 25, Explosion and fire at Shiraz power station
2. June 25, Fire and massive secondary explosions at Khojir-Parchin missile factory east of Tehran
3. June 30, Fire and massive secondary explosions at Sina At’har 'Medical Clinic' in Tehran
4. July 2, Explosion and fire at Natanz nuclear centrifuge factory
5. July 3, Huge unexplained fire at Shiraz
6. July 4, Explosion and fire at Zargan-e Karaneh Iran power plant in Ahvaz in Khuzestan Iran
7. July 4, Chlorine gas leak at Karun petrochemical centre in Mahshahr, South of Ahwaz
8. July 4, More fires near Shiraz
9. July 6, Major explosion at IRGC owned Sepahan Boresh factory at Baghershahr south of Tehran
10. July 7, Apparent destruction of Yellow Cake Facility in Ardakan in central Iran
11. July 10, Multiple explosions, fires, and power failures near Karaz military sites, west of Tehran
Mods naomba mrekebishe heading hapo juu,sio officially ni Officials
Iran officials wanasema hapakuwepo tukio kama hilo, nyie mnagangaia kwamba Iran hasemi ukweli, mkoje - nyinyi mnanufahika nini Iran inapo shambuliwa kwani Iran iliwahi kuwakwaza nini katika maisha yenu ya kila siku - kila siku mnatuletea mabandiko ya propaganda za Reuters dhidi ya Iran, Syria, Huawei na North Korea - mambo ya ajabu sana.
Aiseeee sikutegemea kama ungeongea hili
Kwa hiyo na Iran amekana tu ila ni kweli?Sikama ambavyo trump alivyokana kwamba hakuna wanajeshi wa amerca waliokufa baada ya kushambuliwa na iran katika ile base yao iliyopo iraq
Baada ya USA kumuua general Qaseem
Trump alikana - kwa sababu alikuwa na lengo la kuficha ukweli ili na wao wasionekane dhaifu
Sina ushahidi wa hiloKwa hiyo na Iran amekana tu ila ni kweli?
Lakini Trump alikana ili kuficha ukweli ila ilikuwa ni kweli wanajeshi waliuwawa eti?Sina ushahidi wa hilo
But still we need to know
Hakuna taifa lisilo fanya propaganda