Iran Explosions: Officially deny reports of fresh blast

Basi Iran iko majivu , ndio mahubiri ya leo hayo
Recent Iran Explosions And Fires Timeline
1. June 25, Explosion and fire at Shiraz power station
2. June 25, Fire and massive secondary explosions at Khojir-Parchin missile factory east of Tehran
3. June 30, Fire and massive secondary explosions at Sina At’har 'Medical Clinic' in Tehran
4. July 2, Explosion and fire at Natanz nuclear centrifuge factory
5. July 3, Huge unexplained fire at Shiraz
6. July 4, Explosion and fire at Zargan-e Karaneh Iran power plant in Ahvaz in Khuzestan Iran
7. July 4, Chlorine gas leak at Karun petrochemical centre in Mahshahr, South of Ahwaz
8. July 4, More fires near Shiraz
9. July 6, Major explosion at IRGC owned Sepahan Boresh factory at Baghershahr south of Tehran
10. July 7, Apparent destruction of Yellow Cake Facility in Ardakan in central Iran
11. July 10, Multiple explosions, fires, and power failures near Karaz military sites, west of Tehran

Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Hawawezi kukubali wataonekana wadhaifu huku wao wanataka waonekane imara.
Sikama ambavyo trump alivyokana kwamba hakuna wanajeshi wa amerca waliokufa baada ya kushambuliwa na iran katika ile base yao iliyopo iraq

Baada ya USA kumuua general Qaseem

Trump alikana - kwa sababu alikuwa na lengo la kuficha ukweli ili na wao wasionekane dhaifu
 
Pole kwao.... Chamoto hawa waajemi huwa unawaamini sana ila naona wanateswa sana kwa kukosa uwezo wa kujilinda, hawajui namna ya usalama, wamejianika tu hovyoo.
 
Sikama ambavyo trump alivyokana kwamba hakuna wanajeshi wa amerca waliokufa baada ya kushambuliwa na iran katika ile base yao iliyopo iraq

Baada ya USA kumuua general Qaseem

Trump alikana - kwa sababu alikuwa na lengo la kuficha ukweli ili na wao wasionekane dhaifu
Exactly!
 
Sikama ambavyo trump alivyokana kwamba hakuna wanajeshi wa amerca waliokufa baada ya kushambuliwa na iran katika ile base yao iliyopo iraq

Baada ya USA kumuua general Qaseem

Trump alikana - kwa sababu alikuwa na lengo la kuficha ukweli ili na wao wasionekane dhaifu

Wamarekani huwa sensitive sana kwa watu wao, yaani ufiche kitu kama hicho ndugu na jamii za hao wanajeshi wanaweza wakavuruga amani kwenye vyombo vya habari, kule sio kama hizi shitholes ambapo unaweza ukaficha hata maafa ya maelfu ya watu
 
Wamarekani huwa sensitive sana kwa watu wao, yaani ufiche kitu kama hicho ndugu na jamii za hao wanajeshi wanaweza wakavuruga amani kwenye vyombo vya habari, kule sio kama hizi shitholes ambapo unaweza ukaficha hata maafa ya maelfu ya watu
Hahaa double standard nyingine bwana
 
Recent Iran Explosions And Fires Timeline
1. June 25, Explosion and fire at Shiraz power station
2. June 25, Fire and massive secondary explosions at Khojir-Parchin missile factory east of Tehran
3. June 30, Fire and massive secondary explosions at Sina At’har 'Medical Clinic' in Tehran
4. July 2, Explosion and fire at Natanz nuclear centrifuge factory
5. July 3, Huge unexplained fire at Shiraz
6. July 4, Explosion and fire at Zargan-e Karaneh Iran power plant in Ahvaz in Khuzestan Iran
7. July 4, Chlorine gas leak at Karun petrochemical centre in Mahshahr, South of Ahwaz
8. July 4, More fires near Shiraz
9. July 6, Major explosion at IRGC owned Sepahan Boresh factory at Baghershahr south of Tehran
10. July 7, Apparent destruction of Yellow Cake Facility in Ardakan in central Iran
11. July 10, Multiple explosions, fires, and power failures near Karaz military sites, west of Tehran
Shughuli ndio kwanza imeanza!🤣🤣🤣
 
Mods naomba mrekebishe heading hapo juu,sio officially ni Officials

Iran officials wanasema hapakuwepo tukio kama hilo, nyie mnagangaia kwamba Iran hasemi ukweli, mkoje - nyinyi mnanufahika nini Iran inapo shambuliwa kwani Iran iliwahi kuwakwaza nini katika maisha yenu ya kila siku - kila siku mnatuletea mabandiko ya propaganda za Reuters dhidi ya Iran, Syria, Huawei na North Korea - mambo ya ajabu sana.
 
Udini unawasumbua
Iran officials wanasema hapakuwepo tukio kama hilo, nyie mnagangaia kwamba Iran hasemi ukweli, mkoje - nyinyi mnanufahika nini Iran inapo shambuliwa kwani Iran iliwahi kuwakwaza nini katika maisha yenu ya kila siku - kila siku mnatuletea mabandiko ya propaganda za Reuters dhidi ya Iran, Syria, Huawei na North Korea - mambo ya ajabu sana.

Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Sikama ambavyo trump alivyokana kwamba hakuna wanajeshi wa amerca waliokufa baada ya kushambuliwa na iran katika ile base yao iliyopo iraq

Baada ya USA kumuua general Qaseem

Trump alikana - kwa sababu alikuwa na lengo la kuficha ukweli ili na wao wasionekane dhaifu
Kwa hiyo na Iran amekana tu ila ni kweli?
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom