Actualy i wont say that. Kuna battle ground nyingi bado hajapigana.Nimeangalia Al Jazeera TV, missile za Iran zilivyoipiga Israel, bado Iran wana nguvu za kijeshi. Kuja makazi ya watu yameharibiwa vibaya sana! Sikutegemea kuwa Iran bado ina uwezo huo!
Trump asijidanganye kuwa amevunja vunja arsenals za Iran!
Vita hii itakwenda mbali sana
Dogo huna adabu kwa wakubwa, omba radhiMchambuzi wa vita toka Hungumalwa
sasahivi viongozi hakuna! marekani hajui anapigana na nani ila mikombora inaletwa tu! ISRAEL inaungua jamani sio MCHEZO! safi sanaActualy i wont say that. Kuna battle ground nyingi bado hajapigana.
Kurusha makombora israel does not mean wana nguvu, us & israel wamekuwa wakifanya the same for very long time targeting viongoz .
The question hapa who will last long?
Uko sahihi! All in all , sikutegemea kama Iran bado ina uwezo wa kufanya uharibifu kama huo!Actualy i wont say that. Kuna battle ground nyingi bado hajapigana.
Kurusha makombora israel does not mean wana nguvu, us & israel wamekuwa wakifanya the same for very long time targeting viongoz .
The question hapa who will last long?
Marekani hana shida sana maana hamna kombora linapiga ardhi yake, israel in other side.sasahivi viongozi hakuna! marekani hajui anapigana na nani ila mikombora inaletwa tu! ISRAEL inaungua jamani sio MCHEZO! safi sana
Nachambua na mama yako ujue. Unamtukana mama yako ujue!Mchambuzi wa vita toka Hungumalwa
Yeah!..huenda ADs za Israel zimezidiwa.Nimeangalia Al Jazeera TV, missile za Iran zilivyoipiga Israel, bado Iran wana nguvu za kijeshi. Kuja makazi ya watu yameharibiwa vibaya sana! Sikutegemea kuwa Iran bado ina uwezo huo!
Trump asijidanganye kuwa amevunja vunja arsenals za Iran!
Vita hii itakwenda mbali sana
Anyway, USA amekuwa akisema military installations za Iran have been completely obliterated.......sasa haya anayorusha yanatoka wapi? .....Actualy i wont say that. Kuna battle ground nyingi bado hajapigana.
Kurusha makombora israel does not mean wana nguvu, us & israel wamekuwa wakifanya the same for very long time targeting viongoz .
The question hapa who will last long?
Una maana gani?The question hapa who will last long?
Strategy ya Iran iko efficient. Wameharibu Radar nyingi za THAAD huko middle east kama Jordan, Iraq na Qatar so interception zinakosa precision.
Duh!Marekani hana shida sana maana hamna kombora linapiga ardhi yake, israel in other side.
Us anajua anachokitana, israel nadhani ndio hawajui
Huu ni upumbavu; kama ulivyo upumbavu toka sehemu ya pili.
Hapo hapo Centcom na Israel wanasema uwezo wa Iran kurusha makombora umepungua hata uwezo wao wa kuivuruga Hormuz pia umepungua.Strategy ya Iran iko efficient. Wameharibu Radar nyingi za THAAD huko middle east kama Jordan, Iraq na Qatar so interception zinakosa precision.
Pia alianza na kombora za kawaida ili kuoverload iron dome na sasa ameanza kutumia cluster missiles ambazo ni ngumu kuintercept na mfumo umeshachoka.
Na juzi umeona wamejaribu long range missile yenye capacity ya 4000 km kitu ambacho hakuna aliyedhani wana capacity hiyo!! Who knows what they have in store, a tactical nuke? Dirty bomb?
Upo vizuri sana kuhusu ufuatiliaji huu.Strategy ya Iran iko efficient. Wameharibu Radar nyingi za THAAD huko middle east kama Jordan, Iraq na Qatar so interception zinakosa precision.
Pia alianza na kombora za kawaida ili kuoverload iron dome na sasa ameanza kutumia cluster missiles ambazo ni ngumu kuintercept na mfumo umeshachoka.
Na juzi umeona wamejaribu long range missile yenye capacity ya 4000 km kitu ambacho hakuna aliyedhani wana capacity hiyo!! Who knows what they have in store, a tactical nuke? Dirty bomb?