FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,786
Kuwa na maandishi ya Kiarabu hakumaanishi ni Waarabu hata hapa kwetu basi utasema sisi wa Latin kwa kuwa tunatumia maandishi umya Kilatin. Au ulikuwa hulijuwi hilo?Hii issue ya Iran inabidi kuwekwa sawa. Inapozungumziwa Iran ni nchi yote kwa ujumla yaani jamii nzima ya wananchi waishio humo... sasa Iran kuna Parsi, Arabs,Jews na Ueropean waliokuwa Russia na wakurdi pia kibao ila katika jamii nzima mchanganyiko Parsi ndio idadi kubwa so Mtu akiwaita Iran waarab sio mjinga kwani Kiarab ni sehemu ya lugha ya Iran haswa maandishi yao. So Iran imemezwa haswa kuongea wanaongea Kiparsi kama lugha kuu na kule pande zenye waarab wengi wanataka kujitenga kabisa na Iran.
Iran Waarabu wapo ni nchi yenye mchanganyiko wa makabila mengi.
Tanzania asilimia kubwa sana wanafahamu Kiarabu na maandishi ya Kiarabu kuanzia wadogo lakini haijawa mchi ya Kiarabu. Hata hapo maandishi ya Kilatin yalipokuwa hayajafika maandishi yaliyotumika hata kuandika Kiswahili yalikuwa Kiarabu lakini haijawa nchi ya Kiarabu.
Hiyo argument yako ni muflis. Kwani asilimia kubwa ya Wafaransa wana asili ya Kiarabu lakini haijawa nchi ya Kiarabu. Asilimia kubwa ya Wajerumani ni Waturuki lakini haijawa nchi ya Kituruki.
Pakistan wanatumia maandishi hayo hayo ya Kiarabu lakini siyo nchi ya Kiarabu.
Iran siyo Waarabu. Usitake kulazimisha.
Wewe Mtanzania una ustaarabu (Arabic influence) lakini si Mwarabu, ni vivyo hivyo kwa Wairan, wana ustaarabu (Arabic influence) lakini si Waarabu.