Iran anatakiwa ashambulie na DP world

Iran anatakiwa ashambulie na DP world

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,126
Reaction score
24,424
Sasa hivi UAE wanalipa gharama kubwa sana

UAE ni adui namba moja wa Waafrika na bara la Africa

Wanachukua twiga na wanyama wetu wote, wanachukua mapori,airport kupitia viongozi wajinga na wapuuzi

Vita ya Somalia, Sudan,DRC, Libya ina mkono wa UAE even kule Yemen

Jamaa kila mahali anatia pesa ili damu zimwagike

Hawa hawa wamechukua bandari kupitia mikataba ya kiboya na kibwege.

Na bado wanazidi kujaa nchini wanapewa uraia kinyemela...Wameigeuza hii nchi kuwa shamba la bibi, juzi meli imekamatwa kule ikiwa na ngada ni waowao

Boss wao yupo kwenye Epstein...Anafurahia torturing kwa watoto na wakilawitiwa....Imagine ni watoto wa kitz wanafanyiwa hayo mambo na hawa waovu wa Sodoma na Gomola kutoka Dubai

Sasa Iran maliza kazi tandika na huo uwekezaji wa DP world huko Dubai na HQ zao...

Ninapenda Iran jinsi anaitandika Dubai na UAE hawa waovu wanapaswa kurudi zama za mawe waanze upya

Update:Utadhani Iran wameskia wazo langu ofisi za DP world na maslah yake yameshambuliwa makombora ya Iran
View attachment 3550637
 
Sasa hivi UAE wanalipa gharama kubwa sana

UAE ni adui namba moja wa Waafrika na bara la Africa

Wanachukua twiga na wanyama wetu wote, wanachukua mapori,airport kupitia viongozi wajinga na wapuuzi

Vita ya Somalia, Sudan,DRC, Libya ina mkono wa UAE even kule Yemen

Jamaa kila mahali anatia pesa ili damu zimwagike

Hawa hawa wamechukua bandari kupitia mikataba ya kiboya na kibwege.

Na bado wanazidi kujaa nchini wanapewa uraia kinyemela...Wameigeuza hii nchi kuwa shamba la bibi, juzi meli imekamatwa kule ikiwa na ngada ni waowao

Boss wao yupo kwenye Epstein...Anafurahia torturing kwa watoto na wakilawitiwa....Imagine ni watoto wa kitz wanafanyiwa hayo mambo na hawa waovu wa Sodoma na Gomola kutoka Dubai

Sasa Iran maliza kazi tandika na huo uwekezaji wa DP world huko Dubai na HQ zao...

Ninapenda Iran jinsi anaitandika Dubai na UAE hawa waovu wanapaswa kurudi zama za mawe waanze upya
this is nonsense and completely useless article of the day gentleman
 
Sasa hivi UAE wanalipa gharama kubwa sana

UAE ni adui namba moja wa Waafrika na bara la Africa

Wanachukua twiga na wanyama wetu wote, wanachukua mapori,airport kupitia viongozi wajinga na wapuuzi

Vita ya Somalia, Sudan,DRC, Libya ina mkono wa UAE even kule Yemen

Jamaa kila mahali anatia pesa ili damu zimwagike

Hawa hawa wamechukua bandari kupitia mikataba ya kiboya na kibwege.

Na bado wanazidi kujaa nchini wanapewa uraia kinyemela...Wameigeuza hii nchi kuwa shamba la bibi, juzi meli imekamatwa kule ikiwa na ngada ni waowao

Boss wao yupo kwenye Epstein...Anafurahia torturing kwa watoto na wakilawitiwa....Imagine ni watoto wa kitz wanafanyiwa hayo mambo na hawa waovu wa Sodoma na Gomola kutoka Dubai

Sasa Iran maliza kazi tandika na huo uwekezaji wa DP world huko Dubai na HQ zao...

Ninapenda Iran jinsi anaitandika Dubai na UAE hawa waovu wanapaswa kurudi zama za mawe waanze upya
Dua la kuku halimpati mwewe.
 
Dua la kuku halimpati mwewe.
Pole
Screenshot_20260301-175354_X.jpg
 
Back
Top Bottom