MANKA MUSA
JF-Expert Member
- Jul 9, 2014
- 923
- 1,101
Bilioni moja si haba lazima akomae
kweli kabisa....lazima akomae maana kalipwa hela ndefu sana kwahiyo lazima apigani kufa na kupona.
Bilioni moja si haba lazima akomae
IPTL hawana kesi na TANESCO kama wanasiasa wetu uchwara wanavyodai!
Mwaka 2006 serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupitia Wizara ya Nishati na Madini, shirika la IPTL na Benki Kuu ya Tanzania (wakala) kutokana na Mkataba wa kuzalisha na kuuza umeme kutoka IPTL kwenda TANESCO kulianzishwa akaunti ya ESCROW.
MAtakwa ya makubaliano ya kuanzishwa na kutekelezwa kwa mradi wa kujenga, kuendesha na kuzalisha umeme wa kuuza kati ya kampuni binafsi ya IPTL na TANESCO ni kwa serikali kufungua letters of credit au kufungua akaunti ya ESCROW.
Akaunti hiyo siyo fedha za serikali bali ni fedha ambazo ziliwekwa kutokana na matakwa ya mkataba wa kuuza umeme kwa TANESCO kutoka kampuni binafsi. Katika mkataba wa kufungua akaunti ya ESCROW kuna kifungu kinasomeka, "required amount means the amount in Tshs. That the government of Tanzania shall deposit from time to time in the ESCROW account which equals not less than two months estimated tariff payments under the PPA, provided that such amount shall be adjusted annually by IPTL and TANESCO pursuant in the PPA in the article 11 hereof, and government of Tanzania will be entitled will be entitled to review independently, the calculation of the required amount pursuant to this agreement".
Tafsiri yake kwa Kiswahili ni kwamba "kiasi kinachopaswa kuingizwa na serikali katika akaunti ya ESCROW ni kile ambacho kinalingana na madai ya malipo sawa na miezi miwili ya gharama ya kuuza umeme ambazo IPTL inadai TANESCO, IPTL na TANESCO watafanya marejeo kuhusiana na kiasi cha gharama za umeme kila mwaka. Hayo ni kwa mujibu wa makubaliano ya kuuza na kununua umeme kwa mujibu wa makubaliano ya mkataba wa mauzo ya umeme (Power Purchasing Agreement) au kwa kifupi PPA na kama ilivyobainishwa kwenye kifungu cha 11. Serikali itakuwa huru kufanya tathmimini yake kuhusu gharama halisi za uzalishaji na uuzaji wa umeme kwa mujibu wa mkataba wa PPA.
Wakati akaunti ya ESCROW inafunguliwa serikali na IPTL walikuwa katika mahakama ya usuluhishi ya ICSD ambapo suala la gharama za capacity charge lilikuwa linagombewa. Hivyo serikali ya Tanzania ilikataa madai ya kulipa dola za kimarekani milioni 3.6 kwa ajili ya capacity charge.
Katika Mahakama ya Usuluhishi fedha ambazo zilikubaliwa ni dola za Kimarekani millioni 120 na hivyo gharama za capacity charge kuteremshwa kufikia dola za Kimarekani milioni 2.6. Hivyo mgogoro kati ya serikali na IPTL ukawa umekwisha.
Kumalizika kwa mgogoro huo kunamaliza utata wote wa serikali kuwa na madai katika akaunti ya ESCROW, isipokuwa yale yanayohusu kodi ambazo TRA itakuwa inadai wakati akaunti ya ESCROW itakuwa imefunguliwa kwa wahusika kwa makubaliano ya kutoa fedha au pale fedha kutoka akaunti ya ESCROW zitakuwa zimetolewa na kuwekezwa katika vitega uchumi kama inavyoelezwa katika kifungu cha 3 kinachohusu uwekezaji wa fedha katika akaunti ya ESCROW.
Inaelezwa kwamba shria za Tanzania ndiyo zitatumika katika uthibiti wa fedha za akaunti ya ESCROW. Mtazamo huu wa sheria unazingatia matakwa ya usuluhishi ya Mahakama ya kimataifa ya usuluhishi ICSID ambayo inatamka wazi kwamba wahusika wanakubali kwamba IPTL inathibitiwa na Nationals na hivyo itachukuliwa kuwa shirika la Tanzania kwa madhumuni na matakwa ya makubaliano ya mkataba wa kimataifa. Na wakala wa akaunti ya ESCROW anathibitiwa na serikali ya Tanzania na hivyo anatambuliwa kama taasisi ya kitanzania kwa madhumuni ya mkataba wa ICSID.
Hivyo alipopatikana mnunuzi PAP ambaye alikubaliana kununua hisa za VIP Engineering and Marketing shirika hilo ambalo linamiliki aslimia 30% ya hisa zote, ilikuwa sahihi aondoe kesi ya kutaka IPTL ifunge hughuli zake na wabia wagawane mali. Mahakama Kuu haikukosea kukubaliana na VIP Engineering and Marketing kuondoa kesi na hivyo kufungua milango kwa mmiliki wa hisa zote 100% kuchukua fedha zilizokuwa Benki Kuu kwenye akaunti ya ESCROW.
PINDA AWASHANGAA WAFADHIRI!!!!!!!!!
NA MWANDISHI WETU.
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda,ameshangazwa na baadhi ya wafadhili kusitisha misaada kwa Tanzania kutokana na kashfa ya kuchotwa kwa mabilion ya shilingi kwenye akaunti ya ESCROW ya kampuni ya IPTL.
Amesema wafadhili hao wamechukua uamuzi wa haraka kwa kuwa serikali imeanza kuchukua hatua ikiwa ni pamoja na kuagiza kufanyika kwa uchunguzi ili kubaini ukweli.
Hata hivyo amesema serikali imekuwa ikichukua hatua madhubuti katika kupambana na rushwa na matumizi mabaya ya fedha za umma.
Ukaguzi huo unasimamiwa na ofisi ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) pamoja na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU).
Hatua ya serikali kuagiza kufanyika kwa uchunguzi kuhusiana na mikataba ya IPTL, inatokana na wabunge wakiongozwa na David Kafulila (Kigoma kusini-NCCR Mageuzi) kumtuhumu mmiliki mpya wa kampuni ya IPTL/PAP,kuchota fedha hizo kwa njia isiyo halali.
Akihojiwa na shirika la utangazaji la uingereza (BBC) juzi usiku,Pinda alisema uamuzi wa wafadhili kusitisha misaada ulipaswa kusubiri taarifa ya uchunguzi unaoendelea umalizike na kwamba kilichofanyika sasa ni sahihi.
Ni kweli wamechukua uamuzi wa kusitisha misaada lakini wamefanya hivyo haraka sana.Si kweli kwamba Tanzania tunafanya vizuri kukabiliana na rushwa,alisema.
Si kweli kwamba ESCROW akaunti ilifunguliwa
kutokana na maombi ya TANESCO kuhusiana na
mgogoro wa capacity charge, Kesi ya TANESCO
iliisha 2001, na akaunti ya ESCROW
ilifunguliwa kwa hukumu ya 2006,alisema.
Aliongeza; VIP ndio waliomba kufunguliwa kwa
ESCROW, hivyo kusema kwamba TANESCO na IPTL
kuna kesi ni upotoshaji unaopaswa
kukemewa,.
Makandege, alisema kesi iliokuwepo kwa sasa
ni ya mgogoro wa umiliki kati PAP/IPTL na
benki ya Standard Chartered ya Hongkong
inayodai kununua deni la Kampuni ya Mechmar
ya Malaysia.
Kesi kati ya Standard Chartered na IPTL/PAP
haihusiani na TANESCO na wawaache TANESCO
watimize wajibu wao na sisi tuyatimiza wajibu
wetu kwa Watanzania na tutapambana
mahakamani,alisema Makandege kwa kujiamini.
Hivyo, alisema wanaolalamika kwamba PAP/IPTL
imelipwa kwa makosa wao ndio wanafanya makosa
ya kupotosha ukweli wa suala hilo au labda
waeleze kwamba Standard Chartered ni Shirika
la Umma.
Wamesha elewa. Ripoti inakuja kufunika kabisa, nakuwapoteza wanasiasa uchwara.
Nakaonea huruma katumbili nakumbuka siku zile alipokuwa analilia ubunge wake mpaka kamasi zinamtoka huku akitembea kwa magoti kumfata mbatia amsamehe. Dahhh!
KAMPUNI ya kufua umeme IPTL/PAP sasa imezidi kufahamika kuwa haina kesi au mgogoro wowote mahakamani baina yake na Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO), imefahamika.
Hali hiyo imekuja wakati kukiwepo na habari katika mitandao na baadhi ya vyombo vya habari(isipokuwa gazeti hili) kuwa IPTL/PAP haikustahili kulipwa malipo ya ESCROW kwa kuwa kuna kesi mahakamani.
Taarifa zaidi zinaeleza kesi hiyo inadaiwa imefunguliwa na TANESCO kuhusiana na ukubwa wa gharama za uendeshaji Capacity charge unaofanywa na Kampuni ya IPTL.
Hata hivyo, taarifa zaidi kuhusiana na suala hilo, zinasema kwamba kesi hiyo ilishatolewa hukumu yake tangu 2001, ambapo Mahakama ya Kimataifa ya usuluhishi wa kibiashara ICSID iliagiza IPTL ishushe gharama zake kutoka dola milioni 4.2 hadi dola milioni 2.6 kwa mwezi.
Taarifa zilisema baada ya kumalizika kwa kesi hiyo, ndipo kukazuka mgogoro mwingine wa kimaslahi baina ya waliokuwa wabia wa IPTL, ambao ni Kampuni ya VIP na Mechmar ya nchini Malaysia uliopelekea VIP kuomba kampuni ifilisiwe na isilipwe hata thumni na TANESCO.
Kutokana na maombi hayo ya kampuni ya VIP, Mahakama Kuu iliamriwa kufunguliwa kwa akaunti maalumu itakayokuwa inatunza fedha zinazolipwa na TANESCO kwa ajili ya huduma ya umeme inayotumia.
Katibu na Mwanasheria wa Kampuni ya IPTL, PAP, Joseph Makandege alisema hawana kesi na TANESCO na anashangazwa na taarifa zinazotolewa.
Si kweli kwamba ESCROW akaunti ilifunguliwa kutokana na maombi ya TANESCO kuhusiana na mgogoro wa capacity charge, Kesi ya TANESCO iliisha 2001, na akaunti ya ESCROW ilifunguliwa kwa hukumu ya 2006,alisema.
Aliongeza; VIP ndio waliomba kufunguliwa kwa ESCROW, hivyo kusema kwamba TANESCO na IPTL kuna kesi ni upotoshaji unaopaswa kukemewa,.
Makandege, alisema kesi iliokuwepo kwa sasa ni ya mgogoro wa umiliki kati PAP/IPTL na benki ya Standard Chartered ya Hongkong inayodai kununua deni la Kampuni ya Mechmar ya Malaysia.
Kesi kati ya Standard Chartered na IPTL/PAP haihusiani na TANESCO na wawaache TANESCO watimize wajibu wao na sisi tuyatimiza wajibu wetu kwa Watanzania na tutapambana mahakamani,alisema Makandege kwa kujiamini.
Hivyo, alisema wanaolalamika kwamba PAP/IPTL imelipwa kwa makosa wao ndio wanafanya makosa ya kupotosha ukweli wa suala hilo au labda waeleze kwamba Standard Chartered ni Shirika la Umma.
CHANZO: Majira
Premier Pinda said there was no need to raise tensions as the escrow account was not for the public but rather was between IPTL and the Tanzania Electric Supply Company Tanesco
mjinga huyo kafulila....yeye anadhani sisi wote ni mambulula humu na kuanza kutuletea porojo zake humu,adanganywi mtu humu kawadanganye hao hao mambulula wako.
kafulila mchumia tumbo tu hana hoja anatuzingua tu vichwa vyetu.
Natamani ripoti iwekwe hadharani leo tuone Kafulila na Zitto wanavyoumbuka mbele ya umma
kweli kabisa....lazima akomae maana kalipwa hela ndefu sana kwahiyo lazima apigani kufa na kupona.
sio yeye tu hadi zitto wake wote ni wapigaji wazuri sanaKatumbilii ni mpigaji mzurii sana
Tena huyo ndo hatari sana kwenye pesa,ila anawaaminisha wananchi eti nae mzalendosio yeye tu hadi zitto wake wote ni wapigaji
wazuri sana