Sisi tunachotaka umeme,kama wameingizana chaka wao kwa wao,watajiju,madamu generator zipo na zinagenerate umeme na watu wanatumia,na serikali inalipa kwa mjibu wa makubaliano,who care kama singasinga kaitapeli kampuni huko malaysia.
ama ndo tunataka kurudia ujuaji wa dowans..,ooh kampuni ni ya kwenye briskef.
''sawa,lakini generator zipo na zinatoa umeme?''.
''zipo sawa,lakini tumeenda marekani hatukuona ofisi zao''.
''kwani wewe shidako ni ofisi za richmond marekani au unataka umeme?''.
ujuaji kibao matokeo tukalimwa bonge la faini.
HATULIPI.
MTALIPA.
HATULIPI NG'O.
NAKWAMBIA MTALIPA.