Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,079
- 4,892
Wadau Tarehe 26 April 1964 Nchi mbili za TANGANYIKA na ZANZIBAR Ziliungana na kupatikana NCHI ya TANZANIA.
Kitu cha AJABU Nchi ya ZANZIBAR ipo Nchi ya TANZANIA IPO lakini NCHI ya TANGANYIKA haipo.
Je, ni MUUNGANO wa Aina gani unaoua NCHI MOJA?
Je, nchi ya TANGANYIKA IPO wapi?
Siku hizi Wakati wa kuadhimisha Uhuru utasikia wanasema UHURU wa TANZANIA BARA NCHI ambayo hakuwepo Mwaka 1961.
TUNAOMBA tuelezwe TANGANYIKA IPO WAPI?
Kitu cha AJABU Nchi ya ZANZIBAR ipo Nchi ya TANZANIA IPO lakini NCHI ya TANGANYIKA haipo.
Je, ni MUUNGANO wa Aina gani unaoua NCHI MOJA?
Je, nchi ya TANGANYIKA IPO wapi?
Siku hizi Wakati wa kuadhimisha Uhuru utasikia wanasema UHURU wa TANZANIA BARA NCHI ambayo hakuwepo Mwaka 1961.
TUNAOMBA tuelezwe TANGANYIKA IPO WAPI?