Wakuu poleni kwa maisha magumu kwa kila mtanzania,poleni madaktari kwa kiongozi wenu kufanyiwa unyama.
Naamini kabisa JF one day itaandikwa kwenye vitabu vya kumbukumbu vya ukombozi wa taifa letu.
JF nimekuwa nikiifatilia kwa muda mrefu sana, na nimegundua kuwa ni moja ya chachu ya MAPINDUZI ya taifa letu, ikumbukwe mapinduzi ya Misri yalichochewa na mitandao ya kijamii, so WITO WANGU naomba tunavyo kuwa tunapashana habari na kujuzana mambo muhimu kuhusu taifa letu, naomba kila mwenye ndungu vijijini ajaribu kuwa ANAWAELIMISHA, coz watu wa vijijini walio na elimu ndogo, hawapati habari kwa muda NDIO WATUMWA WA CCM,THEY DON'T KNOW WHAT TO DO, zaidi ya kuendelea kuwa mtaji wa MAGAMBA.
Kwa upande wangu nimejaribu sana kuelimisha nugu zangu wengi sana wa vijijini and i hope wamenielewa and they will participate for changes.
vipi kuhusu ndugu zenu wa vijijini?
Bibilia inasema msiogope bwana atasimama mbele yenu!
TOGETHER WE CAN MAKE CHANGES,we beleave in God n he will stand for us!
Naamini kabisa JF one day itaandikwa kwenye vitabu vya kumbukumbu vya ukombozi wa taifa letu.
JF nimekuwa nikiifatilia kwa muda mrefu sana, na nimegundua kuwa ni moja ya chachu ya MAPINDUZI ya taifa letu, ikumbukwe mapinduzi ya Misri yalichochewa na mitandao ya kijamii, so WITO WANGU naomba tunavyo kuwa tunapashana habari na kujuzana mambo muhimu kuhusu taifa letu, naomba kila mwenye ndungu vijijini ajaribu kuwa ANAWAELIMISHA, coz watu wa vijijini walio na elimu ndogo, hawapati habari kwa muda NDIO WATUMWA WA CCM,THEY DON'T KNOW WHAT TO DO, zaidi ya kuendelea kuwa mtaji wa MAGAMBA.
Kwa upande wangu nimejaribu sana kuelimisha nugu zangu wengi sana wa vijijini and i hope wamenielewa and they will participate for changes.
vipi kuhusu ndugu zenu wa vijijini?
Bibilia inasema msiogope bwana atasimama mbele yenu!
TOGETHER WE CAN MAKE CHANGES,we beleave in God n he will stand for us!