Solarpanel
JF-Expert Member
- Oct 9, 2012
- 235
- 38
Nawaza sana inakuwaje unawatoa watu mikoa ya mbali unaenda kuwafanyia aptitude test. Hivi siku watu wakigoma kabisa kuja mtafanyaje? Sioti ila huku tuendako watanzania ipo siku watachoka na hamtaamini mnaita watu mia sita na vituo kumi vya intavyuu afu hatatokea hata mtu mmoja kuifanya. Ipo siku