IPO KIARAKA- MBELE YA BUNJU SOKONI

IPO KIARAKA- MBELE YA BUNJU SOKONI

jopss

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
297
Reaction score
454
  • Kiwanja kina ukubwa wa Meter² 748(22*34)
  • Kipo umbali wa 1.7 Kilometres kutokea barabara ya Bagamoyo ( Ali Hassan road) unakata kuelekea EFATHA SEMINARY na shule ya KIPINGU.
  • Umeme na maji ya Dawasco yapo karibu . Nguzo ya umeme ipo kulia kwenye mpaka wa kiwanja na barabara.
  • Mawasiliano kwa atakae hitaji yafanyike kupitia 0629037727
    CEF0E81F-B618-40BE-958D-F3218D4DA652.jpeg
    0A849FB2-420F-4EE5-99AF-B91C4DD368AB.jpeg
    B7E1A837-B245-427B-B154-B8D8AEA407C4.jpeg
    E1B2D48C-227B-4AE8-8A4A-28F5DC60DF64.jpeg
 
Laki nane mbona ndogo sana kwa hicho kiwanja?Any way very reasonable price
 
Kiwanja kikibwa hivyo unauza laki nane?!
Mkuu kweli vyuma vimebana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom