Ipo haja Zanzibar nao wafungue ofisi za ZRB huko Tanganyika

mzenjiboy

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
907
383
TRA ni taasisi inayokusanya kodi nchi nzima ikiwemo Zanzibar, na Zanzibar nayo ina taasisi yake ya kukusanya kodi kwa Zanzibar ambayo ni ZRB.

Pesa zinazokusanywa na TRA kutoka Zanzibar hupakiwa kwenye boti ya mwisho inayoondoka Zanzibar na kupelekwa Tanganyika. Hii ikimaanisha ya kwamba makusanyo ya Zanzibar ni mali ya Tanganyika.

Ipo haja Zanzibar nao wafungue afisi za ZRB huko Tanganyika ili wakusanye kodi kwa ajili ya Zanzibar. Lengo langu ni kuwaamsha Baraza waone na kuanza kujadili suala hili.
 
TRA ni taasisi inayokusanya kodi nchi nzima ikiwemo Zanzibar, na Zanzibar nayo ina taasisi yake ya kukusanya kodi kwa Zanzibar ambayo ni ZRB.

Pesa zinazokusanywa na TRA kutoka Zanzibar hupakiwa kwenye boti ya mwisho inayoondoka Zanzibar na kupelekwa Tanganyika. Hii ikimaanisha ya kwamba makusanyo ya Zanzibar ni mali ya Tanganyika.

Ipo haja Zanzibar nao wafungue afisi za ZRB huko Tanganyika ili wakusanye kodi kwa ajili ya Zanzibar. Lengo langu ni kuwaamsha Baraza waone na kuanza kujadili suala hili.
Sasa hapo unaona umeandika chs maana. Hujui serikali ya muungano ndio inalipa mabalozi majeshi ya ulinzi na polisi na gharama nyimgi tu za jamhuri?
 
TRA ni taasisi inayokusanya kodi nchi nzima ikiwemo Zanzibar, na Zanzibar nayo ina taasisi yake ya kukusanya kodi kwa Zanzibar ambayo ni ZRB.

Pesa zinazokusanywa na TRA kutoka Zanzibar hupakiwa kwenye boti ya mwisho inayoondoka Zanzibar na kupelekwa Tanganyika. Hii ikimaanisha ya kwamba makusanyo ya Zanzibar ni mali ya Tanganyika.

Ipo haja Zanzibar nao wafungue afisi za ZRB huko Tanganyika ili wakusanye kodi kwa ajili ya Zanzibar. Lengo langu ni kuwaamsha Baraza waone na kuanza kujadili suala hili.
... ila umesahau kichokusanywa na TRA ni "cha wote" ila cha ZRB ni cha waunguja na wapemba tu!
 
Ni kweli kwamba TRA wanakusanya kwa ajili ya watanzania wote huku ZRB kwa ajili ya wazenji tu ?
 
Bado tuna safari ndefu sana, uyu anahisi TRA ni chombo cha Bara??

hajiulizi kwann TRA pia imeajiri wazanzibar??

......akseh we have long way 2go
... ila umesahau kichokusanywa na TRA ni "cha wote" ila cha ZRB ni cha waunguja na wapemba tu!
 
Umeyasahau mashesheli
jamani hawa watu tuwaonee huruma wanakuwaga na changamoto ya kiakili, siku nilivyofika Zenji ndio nilijua kwa jinsi gani hawa watu huu Muungano siku ukivunjika watadata, misosi ni bei ghali na vyote wanatoa bara si mchele wala maharage wao ni samaki na madafu tu...yaani kana kwamba watakula hivyo vifaa vya kieletroniki toka dubai au uchina
 
Bado tuna safari ndefu sana, uyu anahisi TRA ni chombo cha Bara??

hajiulizi kwann TRA pia imeajiri wazanzibar??

......akseh we have long way 2go
... ila hoja ni je, fedha ni suala la muungano? Nadhani kule wana wizara yao ya fedha isipokuwa BoZ.
 
TRA ni taasisi inayokusanya kodi nchi nzima ikiwemo Zanzibar, na Zanzibar nayo ina taasisi yake ya kukusanya kodi kwa Zanzibar ambayo ni ZRB.

Pesa zinazokusanywa na TRA kutoka Zanzibar hupakiwa kwenye boti ya mwisho inayoondoka Zanzibar na kupelekwa Tanganyika. Hii ikimaanisha ya kwamba makusanyo ya Zanzibar ni mali ya Tanganyika.

Ipo haja Zanzibar nao wafungue afisi za ZRB huko Tanganyika ili wakusanye kodi kwa ajili ya Zanzibar. Lengo langu ni kuwaamsha Baraza waone na kuanza kujadili suala hili.
Huu muungano na mwenge wa uhuru anayefahamu undani wake awaeleze watanzania. Ni somo gumu sana
 
Mtoa mada nisaidie kujibu haya;
-Kodi za ZRB na TRA ni kodi zinazojirudia? yaani mnalipa kodi hiyo hiyo mara mbili?
-Masuala ya muungano yatakayofanyika Zanzibar yahudumiwe na wabara peke yao?
-ZRB itakuwa na tija gani bara wakati ni chombo cha kizanzibari kwa ajili ya kukusanya kodi za wazanzibari?
 
TRA ni taasisi inayokusanya kodi nchi nzima ikiwemo Zanzibar, na Zanzibar nayo ina taasisi yake ya kukusanya kodi kwa Zanzibar ambayo ni ZRB.

Pesa zinazokusanywa na TRA kutoka Zanzibar hupakiwa kwenye boti ya mwisho inayoondoka Zanzibar na kupelekwa Tanganyika. Hii ikimaanisha ya kwamba makusanyo ya Zanzibar ni mali ya Tanganyika.

Ipo haja Zanzibar nao wafungue afisi za ZRB huko Tanganyika ili wakusanye kodi kwa ajili ya Zanzibar. Lengo langu ni kuwaamsha Baraza waone na kuanza kujadili suala hili.
Do, ndio ni mali yetu wote, Kama ambavyo deni la taifa lilivyo ,sio kwamba wametumia Watanganyika tu, zimetumika Tz nzima ikiwemo na Zanzibar,Sasa shida iko wapi pesa ya nchi nzima kuingizwa kwenye chungu kimoja na then kufanyiwa allocation katika maeneo yote ya tz KWA manufaa ya watanzania wote?

Ikitokea muungano haupo lazima na deni la taifa tunagawana pasu Yani,

Serikali tafadhali muungano tea twautaka , ila ondoeni vigugumizi katika muungano, Watanganyika tuwe na haki sawa na wazanzibar, na itawezekanatu endapo tutafanya yafuatayo

Kuwa na serikali moja au serikali tatu chini ya katiba mpya,
,
TRA ni taasisi inayokusanya kodi nchi nzima ikiwemo Zanzibar, na Zanzibar nayo ina taasisi yake ya kukusanya kodi kwa Zanzibar ambayo ni ZRB.

Pesa zinazokusanywa na TRA kutoka Zanzibar hupakiwa kwenye boti ya mwisho inayoondoka Zanzibar na kupelekwa Tanganyika. Hii ikimaanisha ya kwamba makusanyo ya Zanzibar ni mali ya Tanganyika.

Ipo haja Zanzibar nao wafungue afisi za ZRB huko Tanganyika ili wakusanye kodi kwa ajili ya Zanzibar. Lengo langu ni kuwaamsha Baraza waone na kuanza kujadili suala hili.
 
TRA ni ya muungano na inakusanya mapato kwenye mambo ya muungano pekee kwa upande wa Zanzibar. Tena vimapato vyenyewe kiduchu tu.
 
... ha ha ha! Eti "Pesa zinazokusanywa na TRA kutoka Zanzibar hupakiwa kwenye boti ya mwisho inayoondoka Zanzibar na kupelekwa Tanganyika." jinga kweli huyu mpemba halafu usikute anaanzisha huu uzi anatengeneza kababu na sambusa akiwa Mbulu huko!
😅😅😅
 
Mtoa mada nisaidie kujibu haya;
-Kodi za ZRB na TRA ni kodi zinazojirudia? yaani mnalipa kodi hiyo hiyo mara mbili?
-Masuala ya muungano yatakayofanyika Zanzibar yahudumiwe na wabara peke yao?
-ZRB itakuwa na tija gani bara wakati ni chombo cha kizanzibari kwa ajili ya kukusanya kodi za wazanzibari?
Mkuu hawezi kukujibu, KWA maana alipo uko anacheka na kufurai, anajua fika ni jinsi gani walishafanikisha kuifanya Tanganyika koloni lao , na ndo maana pamoja na kunufaika kwingi ndani ya Muungano kuliko Watanganyika KWA fulsa kibao zaidi wapatazo Watanganyika kwenye Muungano bado anaona nongwa yakuleta mapato Tanganyika,
 
TRA ni taasisi inayokusanya kodi nchi nzima ikiwemo Zanzibar, na Zanzibar nayo ina taasisi yake ya kukusanya kodi kwa Zanzibar ambayo ni ZRB.

Pesa zinazokusanywa na TRA kutoka Zanzibar hupakiwa kwenye boti ya mwisho inayoondoka Zanzibar na kupelekwa Tanganyika. Hii ikimaanisha ya kwamba makusanyo ya Zanzibar ni mali ya Tanganyika.

Ipo haja Zanzibar nao wafungue afisi za ZRB huko Tanganyika ili wakusanye kodi kwa ajili ya Zanzibar. Lengo langu ni kuwaamsha Baraza waone na kuanza kujadili suala hili.
Dai katiba mpya na siyo kodi huku Bara kwa sababu Zanzibar haina mchango huku!
 
Back
Top Bottom