YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Raisi Mwinyi ana hoja nzito sana TRA na ZRB wabadilishane Taarifa na wafanya kazi pamoja kudhibiti wakwepa kodi
Mfano alitoa ni kuwa lita za mafuta milioni 50 zililetwa Tanzania bara toka Zanzibar mwenyewe mwenye Lita zake akasema hawezi lipa kodi Tanzania bars sababu zimetokea Zanzibar lakini kule nako hakulipa kumbe !!
TRA vizuri iwe inawapa takwimu ZRB za bidhaa zilizotoka bara kwenda Zanzibar na ZRB itoe takwimu za bidhaa zilizotoka Zanzibar kwenda bara na kama zililipiwa kodi upande husika au LA.Ripoti wasiishie tu kubadilishana copy ziende ofisi kama hazina za pande zote mbili
Huo mchezo unaonyesha umechezwa muda mrefu hasa kwa bidhaa za kutoka Zanzibar
Swala jingine ni je kikosi cha KMKM kazi yake nini hasa kuhusu hili swala LA lita milioni 50 kuondoka Zanzibar bila kulipiwa Kodi? Hayo ni magendo.Na ni kazi pia ya KMKM kudhibiti magendo nao napendekeza watumbuliwe
TRA nao je mtu akishasema Mimi ushuru ulilipwa Zanzibar inatosha kusema kwa mdomo tu hakuna verification yoyote ya kufanya kujihakikishia hilo ili kama hajalipa alipe? Swala LA hizo Lita 50 milioni TRA nako kuna watu wanatakiwa watumbuliwe .Mwinyi kamaliza ZRB kutumbua mpira uko Tanzania bara kuna watu TRA wanatakiwa kutumbuliwa
Mfano alitoa ni kuwa lita za mafuta milioni 50 zililetwa Tanzania bara toka Zanzibar mwenyewe mwenye Lita zake akasema hawezi lipa kodi Tanzania bars sababu zimetokea Zanzibar lakini kule nako hakulipa kumbe !!
TRA vizuri iwe inawapa takwimu ZRB za bidhaa zilizotoka bara kwenda Zanzibar na ZRB itoe takwimu za bidhaa zilizotoka Zanzibar kwenda bara na kama zililipiwa kodi upande husika au LA.Ripoti wasiishie tu kubadilishana copy ziende ofisi kama hazina za pande zote mbili
Huo mchezo unaonyesha umechezwa muda mrefu hasa kwa bidhaa za kutoka Zanzibar
Swala jingine ni je kikosi cha KMKM kazi yake nini hasa kuhusu hili swala LA lita milioni 50 kuondoka Zanzibar bila kulipiwa Kodi? Hayo ni magendo.Na ni kazi pia ya KMKM kudhibiti magendo nao napendekeza watumbuliwe
TRA nao je mtu akishasema Mimi ushuru ulilipwa Zanzibar inatosha kusema kwa mdomo tu hakuna verification yoyote ya kufanya kujihakikishia hilo ili kama hajalipa alipe? Swala LA hizo Lita 50 milioni TRA nako kuna watu wanatakiwa watumbuliwe .Mwinyi kamaliza ZRB kutumbua mpira uko Tanzania bara kuna watu TRA wanatakiwa kutumbuliwa