The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,503
- 2,046
Ktk nchi mbovu kama zetu ukiendekeza demokrasia hamfiki mbali. Gadafi,fidel,mao,zenawi,washngton walifanikiwa sana kwa kutoendekeza haki za binadam waovu.
Udictator bila mipango na mikakati makini ni kazi bure,hao ulio wataja hakili zao zilikuwa kubwa sana, waliweka mikakati Bora na walitengeneza sera nzuri kwa taifa lao, we need dictator with large brain but not empty head dictator