Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
Habarini ndugu zangu wanajamii!
Unapozungumzia MOVIES ZA UKWELI,hutakosa kusikia watu wakizungumzia SERIES MBALI MBALI,zikiwemo:
24-ambayo utakutana na JACK-BOUER,DAVID PALMER,WAYNE PALMER,CHLOE,CURTIS,HABIB MWARUWANI,GENERAL JUMA,na wengine wengi sana.
Pia utasikia series moja MATATA SANA:
ALIAS(au alliance)-hapa kuna kina SYDNEY BRISTOW,JACK BRISTOW,DIXON,SLOANE,TIPPIN,FRANCIE,LAMBARD,PATEL,na wengine wengi.
Series hizi mbili nilizozielezea ZINABAMBA ILE MBAYA!kuna matechnologia ya kufa mtu namna ya kukabiliana na magaidi,wauza silaha,wauzaji wa drugs n.k,ni reflection ambayo tunajifunza ulimwengu ambao nchi zilizoendelea wapo,wakati sisi tunakabiliana na MAFISADI.
Anyways,mimi naomba mchango wa mawazo hapa,ipi ni THE BEST SERIES.maanake zote ni FULL MATEKNOLOJIA.
tujadili
Unapozungumzia MOVIES ZA UKWELI,hutakosa kusikia watu wakizungumzia SERIES MBALI MBALI,zikiwemo:
24-ambayo utakutana na JACK-BOUER,DAVID PALMER,WAYNE PALMER,CHLOE,CURTIS,HABIB MWARUWANI,GENERAL JUMA,na wengine wengi sana.
Pia utasikia series moja MATATA SANA:
ALIAS(au alliance)-hapa kuna kina SYDNEY BRISTOW,JACK BRISTOW,DIXON,SLOANE,TIPPIN,FRANCIE,LAMBARD,PATEL,na wengine wengi.
Series hizi mbili nilizozielezea ZINABAMBA ILE MBAYA!kuna matechnologia ya kufa mtu namna ya kukabiliana na magaidi,wauza silaha,wauzaji wa drugs n.k,ni reflection ambayo tunajifunza ulimwengu ambao nchi zilizoendelea wapo,wakati sisi tunakabiliana na MAFISADI.
Anyways,mimi naomba mchango wa mawazo hapa,ipi ni THE BEST SERIES.maanake zote ni FULL MATEKNOLOJIA.
tujadili