Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 370,747 Reaction score 858,471 Feb 14, 2014 #1 Mara nyingi kwenye vikao vya bunge utawasikia wale waheshimiwa sana wakisema ama 1:naunga hoja mkono au 2:naunga mkono hoja Mojawapo si sahihi au pengine zote
Mara nyingi kwenye vikao vya bunge utawasikia wale waheshimiwa sana wakisema ama 1:naunga hoja mkono au 2:naunga mkono hoja Mojawapo si sahihi au pengine zote