Huyo girlfriend wako ni mtanzania au mnyarwanda?
my lolpop...mh,my sweethati you smell a littlebit strong dearKuwa practical hebu andika hiyo sentesi tuone
Teh Teh huyu kaka yako kila siku mikasa ni ya kwake pamoja na GaladuduKaka yangu GENTAMYCINE ananiheshimu ndio maana hajaniita kwenye hii thread
Nasikia hujifanya usalama wa taifa Teh TehNi yeye mbona?(ID zote ni zake) Mikasa yote ya kutunga,sijui anapata faida gani.
Akija mpe whitedent na perfume
au mwambie kwa kingereza si unajua ukweli ukiambiwa kwa kingereza hauumi
Ni yeye mbona?(ID zote ni zake) Mikasa yote ya kutunga,sijui anapata faida gani.
Kaka yangu GENTAMYCINE ananiheshimu ndio maana hajaniita kwenye hii thread
Usilazimishe Mimi Kuwa Kaka Yako Na Ukome Kuniita Mimi Kaka Yako Na Hatumo Humu JF Kuitana Kaka Wala Dada. Mazoea Yasizidi KIWANGO Tafadhali, NIMEMALIZA.
Umemchenjia!!!
Mpuuzi Huyo Na Nimeshamgundua Kuwa Ni MNAFIKI Na Tena Sitaki Kabisa Mazoea Mazoea Nae. Kaka Kaka Mimi Nilimwambia Kuwa Naingia Humu Kutafuta Dada au Ndugu? Humu Ni KAZI TU Basi!