GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,851
- 109,552
Kama Labda Una Mpenzi Wako Awe Wa Kiume au Wa Kike Halafu Ananuka Either MDOMO Or KIKWAPA Tena Kwa Kutoa Ile Harufu Kali Na ILIYOTUKUKA Ipi Labda Ni Njia Sahihi Ya Kumwambia Na Ya Kidiplomasia Ambayo Hata Ukimwambia Haitamuathiri Kisaikolojia Na Pengine Kujisikia Vibaya? Nasema Hivi Kwakuwa Yamenikuta Kwani Sasa Nina Girlfriend Wangu Mmoja Ambaye Kiukweli Yupo Vizuri Kila Idara Nikimaanisha UZURI, PESA, MALI, ELIMU Na MAHABA Anayajua ILA Ananuka Sana NDOMO Na KIKWAPA Chake Nadhani Kinatofautiana Kidogo Ki Harufu Na Dampo La Taifa Lililopo PUGU Na Leo Mchana Anakuja Hivyo Nataka NIJILIPUE Kwake ( Nijitoe Muhanga ) Nimwambie Kwani Sasa Imefikia Wakati Akiniambia Tu Kuwa Anakuja Naona MUDA WA ADHABU UNAKARIBIA. Ninampenda Mno Ila Tatizo Ni Hayo Maeneo Mawili Tajwa Hapo Juu.
Nitawashukuruni Kwa USHAURI MSAADA Wenu Ili Baadae Akija NIUFANYIE KAZI.​
Nitawashukuruni Kwa USHAURI MSAADA Wenu Ili Baadae Akija NIUFANYIE KAZI.​