Ipi ni madhara ya kufunga muda mrefu zaidi ya masaa48?

Ipi ni madhara ya kufunga muda mrefu zaidi ya masaa48?

Technophilic Pool

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2024
Posts
3,104
Reaction score
4,565
Nimeanza na masaa24

Leo nimefika masaa 25
Nataka slow slow nifike masaa48, max siku 4

Nimeambiwa ni nzuri kwa kufanya body reset na healing

Lakini pia ni muhimu kujua madhara yanayoweza kutokea kwa sababu hiyo si mfungo wa kawaida!
ipi ni madhara ya mfungo wa zaidi ya masaa24 had 48
 
Nimeanza na masaa24

Leo nimefika masaa 25
Nataka slow slow nifike masaa48, max siku 4

Nimeambiwa ni nzuri kwa kufanya body reset na healing

Lakini pia ni muhimu kujua madhara yanayoweza kutokea kwa sababu hiyo si mfungo wa kawaida!
ipi ni madhara ya mfungo wa zaidi ya masaa24 had 48
Malizia kwanza hizo siku zilizobaki kisha urudi hapa kutusimulia kama bado utakuwa hai.
 
Nimeanza na masaa24

Leo nimefika masaa 25
Nataka slow slow nifike masaa48, max siku 4

Nimeambiwa ni nzuri kwa kufanya body reset na healing

Lakini pia ni muhimu kujua madhara yanayoweza kutokea kwa sababu hiyo si mfungo wa kawaida!
ipi ni madhara ya mfungo wa zaidi ya masaa24 had 48
Funga hizo saa 48 kisha rudi hapa kama bado mzima uje kutupa mrejesho. Tunakusibiri.
 
Unaweza lakini madhara kama ukosefu wa maji mwilini,ambapo utakosa nguvu.Mimi nilijaribu nilipofika masaa 36 usiku wa saa 4 nilishindwa kuendelea kwanza nilihisi mwili hauna maji hata mate mdomoni sikuwa nayo p nilishindwa kuanza kuona pia nguvu niliishiwa kabisa.
Nilichojifunza ili kufikia masaa 48 unahitaji maandalizi ya wiki nzima kuuandaa mwili.pia maji ni muhimu kuyatumia unapo funga ni muhimu unaweza kufa kwa kukosa maji mwilini kwa maana ya kujiua.
Wanasema mwanaume anaweza kukaa siku 5 bila kula akaishia.mwanamke siku 8
 
Nimeanza na masaa24

Leo nimefika masaa 25
Nataka slow slow nifike masaa48, max siku 4

Nimeambiwa ni nzuri kwa kufanya body reset na healing

Lakini pia ni muhimu kujua madhara yanayoweza kutokea kwa sababu hiyo si mfungo wa kawaida!
ipi ni madhara ya mfungo wa zaidi ya masaa24 had 48
Hapa Mbeya kuna muumini wa Efatha Forest mpya alifunga hizo mnazoita kavu siku ya tatu hakuimaliza. Hatupo naye kwa sasa
 
Unaweza lakini madhara kama ukosefu wa maji mwilini,ambapo utakosa nguvu.Mimi nilijaribu nilipofika masaa 36 usiku wa saa 4 nilishindwa kuendelea kwanza nilihisi mwili hauna maji hata mate mdomoni sikuwa nayo p nilishindwa kuanza kuona pia nguvu niliishiwa kabisa.
Nilichojifunza ili kufikia masaa 48 unahitaji maandalizi ya wiki nzima kuuandaa mwili.pia maji ni muhimu kuyatumia unapo funga ni muhimu unaweza kufa kwa kukosa maji mwilini kwa maana ya kujiua.
Wanasema mwanaume anaweza kukaa siku 5 bila kula akaishia.mwanamke siku 8
Hapo nakubaliana na ww
Kukiwa na maji anakaa hata siku 7
 
Haina madhara jombaa wala nini kitaa kuna walokole mtaani kwangu wakiongozwa na Mama Ebeneza wanapiga tatu kavu, tano kavu mpaka saba kavu.
Kweli changamoto ni siku atayoanza kula
Akifakamia chakula ovyo anakufa kwa utumbo kujikunja
 
Unareset mwili ina faida nyingi sana.

Ukitoboa Saa 72 ni full reset
 
Aisee! Ukimaliza huo mfungo wa masaa 48 uje utupe mrejesho mkuu..
 
Kwaiyo unadhan kufa ni rahisi ivo
Mi nimeweza 24 na nauwezo wa kwenda hata 48 sema madhara yake ndo nahofia
Kwanini watengeneza kitu usichokiona kionekane. Go face your demon

Hapa kuna assumption tuu hakuna fact unazotafuta, kila mtu ana personal experience yake ambayo haiwezi na haitaweza kuwa yako, kama wakubali hii malizia mfungo wako

Kikubwa sikiliza moyo wako wakuambia nini
 
Kwanini watengeneza kitu usichokiona kionekane. Go face your demon

Hapa kuna assumption tuu hakuna fact unazotafuta, kila mtu ana personal experience yake ambayo haiwezi na haitaweza kuwa yako, kama wakubali hii malizia mfungo wako

Kikubwa sikiliza moyo wako wakuambia nini
Kupata unachotaka ni muhimu kujua nn waweza poteza
 
🤣🤣🤣🤣🤣we acha izo had ufe unaanza kukonda kwanza
Jaribu mkuu ili tupate uzoefu kutoka kwako. Mpatie kabisa mtu nywira yako ya humu ili likitokea jambo aje kutupa ushuhuda jinsi hali ilivyokuwa kuanzia siku ya tatu
 
Back
Top Bottom