Sijawahi kusikia Wema Sepetu anajisifia mzuri ila nimesikia mara kadhaa humu Jf wanaume wanajisifia kuwa wao ni wazuri na wanapagaisha dada zetu!!
Kiukweli mimi ni handsome na ni fundi mzuri sana...wadada wanapagawa sana.!
mwanaume hajisifii uhandsome bana....
by the way unajuaje kama ni kweli wanapagawa au wanakuchota akili tu!!!
Biashara matangazo
Mkuu ebu soma vizuri thread. By the way haujaulizwa wewe ni handsome au la?
Hiyo biashara sio mapenziU handsome mwisho form four.....otherwise wanawake wazuri utaishia kuwaita shemeji...kuna watu wana sura ngumu mpaka wakaitwa nyara za serikali lakini wanamiliki totoz za hatareee!
Kukupenda, imekuwa kero
Kutwa kucha kunitenda, mi mwana wa mwenzio
Nachofanya mi sikioni, ila masikio yanasikia wee
Nachofanya mi sikioni, ila masikio yanasikia wee
Kupenda na kupenda kweli, ah sikatai
Uwepo wako ni mzuri, maishani nafurahi
Kupenda na kupenda kweli, ah sikatai
Uwepo wako ni mzuri, maishani nafurahi
Ila ya moto, ya moto mapenzi
Mapenzi ya kitoto, ya kitoto mie siwezi
Ila ya moto, ya moto mapenzi
Mapenzi ya kitoto, ya kitoto mie siwezi
haswaaaaaaa mia kwa miaUhandsome upo machoni pa mchaguaji,ukichaguliwa ujue we handsome wa aliyekuchagua,kushney!