Michael mbano
JF-Expert Member
- Apr 4, 2022
- 820
- 567
Nimepita mahala ktk wilaya fulani nimeisahau jina ila katika mkoa wa njombe mkuu wa wilaya anahutubia,na mkutano huo umeitishwa ghafla tu ktk siku ya leo ambayo inasemekana ya mazingira duniani.
Wamepita wagambo kuwambia wafanyabiashara kuanzia wakubwa hadi wadogo wafunge waje kumsikiliza.
Haikutosha kaita viongozi wavijiji na vitongoji waongozane na wagambo wakakamate watu wawapige faini au kuwaweka lockup. Halafu kwenye mkutano huo kuna wazee lakini mkuu wa wilaya anatamka kauli si nzuri et mi naita mkutano hamji ninyi wajinga nini? Au niwaweke wote lockup.
Sasa nauliza wanajamvi huyu mtu uwezo wake wa kutenda na mipaka yake ipoje? Mh mkuu wa nchi anateuwaje watu waliyokosa busara mbele ya watu?
Wamepita wagambo kuwambia wafanyabiashara kuanzia wakubwa hadi wadogo wafunge waje kumsikiliza.
Haikutosha kaita viongozi wavijiji na vitongoji waongozane na wagambo wakakamate watu wawapige faini au kuwaweka lockup. Halafu kwenye mkutano huo kuna wazee lakini mkuu wa wilaya anatamka kauli si nzuri et mi naita mkutano hamji ninyi wajinga nini? Au niwaweke wote lockup.
Sasa nauliza wanajamvi huyu mtu uwezo wake wa kutenda na mipaka yake ipoje? Mh mkuu wa nchi anateuwaje watu waliyokosa busara mbele ya watu?