nadry
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 606
- 596
Habari zenu wananzengo hususani wa Jamii Forum!Mimi ni mojawapo ya watu ambao wana uelewa hafifu wa mambo ya simu hasahasa mambo ya KAMERA.
Jamani Nina mpango wa kununua simu moja wapo Kati ya hizi;
(1)Ina macho matatu jicho la kwanza MP 108,jicho la pili MP 8, jicho la tatu MP 2.
(2)Ina macho matatu,jicho la kwanza MP 50.jicho la pili mp 48 Na jicho la tatu MP 48.
Je katika simu mbili hapo juu IPI simu yenye KAMERA kali?
Jamani Nina mpango wa kununua simu moja wapo Kati ya hizi;
(1)Ina macho matatu jicho la kwanza MP 108,jicho la pili MP 8, jicho la tatu MP 2.
(2)Ina macho matatu,jicho la kwanza MP 50.jicho la pili mp 48 Na jicho la tatu MP 48.
Je katika simu mbili hapo juu IPI simu yenye KAMERA kali?