Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
Mnatumia vitu vya ajabu sana.....Kwa ulizotaja hapo chukua STAR-X Ila mimi natumia PINETECH double screen. Kitu kiko bomba. Na bei ni cheee tu
Wazo zuri mkuuElectronics zimeshuka bei sana mkuu usipate stress, jichange chukua LG au Samsung inch 32 kati ya 480k hadi 550k.
Fanya ivo utakuja kunishukuru baadae.
Kama pesa haitoshi unaweza kwenda dukani ukalipia pesa kiasi unapewa risiti fulani kisha unaendelea kujikusanya.
Mnatumia vitu vya ajabu sana.....
sio ndio hizo tv kila siku mtakimbilia kwa fundi tv!!?
Kitu Sony Bravia nakikubali sana. Rangi nzuri na Speaker nzuri wala hauhitaji kuunganisha na Sabufa.LG,SAMSUNG,SONY BRAVIA, HISENSE na TCL , nje ya hapo mkuu mimi sinunui yaani bora hata ninunue 24 inches ya brands hizo kuliko hayo majina inch 50
Vp Sony Bravia inch 24 bei gan?Kitu Sony Bravia nakikubali sana. Rangi nzuri na Speaker nzuri wala hauhitaji kuunganisha na Sabufa.
Vp hiyo yenyewe inch 24 bei gani?Hizo ulizotaja hapo znaweza kuja kukutoa machozi vuta "BOSS TV"