Puyugu 01
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 573
- 455
Habari jf, nimekuwa nikijiuliza maswali lukuki pasipo kupata majibu stahiki kila siku, ni imani yangu sasa kupitia Madoctor aidha wahusika wenyewe(wajawazito) waliyomo humu wanijuze au watujuze ni kipi kinachowapelekea nyie wanawake wajawazito mle Udongo pindi muwapo ktk hali hiyo?, pia napenda ama tunapenda kujua mnapata nini mnapokula au mnakosa nini msipokula?, lkn ni vyema pia mkatujulisha faida na hasara ya kubwia Udongo.
Karibuni.
Karibuni.