N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,992
- 12,036
Nywele zangu zinanyonyoka utosini na zinakuwa nyepesi...naona dalili za kipara wajomba zangu asilimia 30 wana vipara.
Sasa salon naponyoa kinyozi kanishauri nitumie mafuta ya mnyonyo yanazuia nywele kupotea...je kuna ukweli wowote...kama sio ni njia ipi ya kuzuia kipara
Sasa salon naponyoa kinyozi kanishauri nitumie mafuta ya mnyonyo yanazuia nywele kupotea...je kuna ukweli wowote...kama sio ni njia ipi ya kuzuia kipara