Mzee Wa Republican
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 1,671
- 851
Inategemea na wewe mwenyewe na vision yakocombination ipi nzuri kati ya HGE na CBG naombeni maoni yenu wakubwa
Inategemea na wewe mwenyewe na vision yakocombination ipi nzuri kati ya HGE na CBG naombeni maoni yenu wakubwa
natak niwe accountantInategemea na wewe mwenyewe na vision yako
fanya ECA itapendeza zaidi maana utakuwa na msingi toka chininatak niwe accountant
Nenda HGL ukasomee uanasheria. Hayo magumu yatakuchosha a ukija mtaa hakuna mtu anayekuhitajimatokeo yangu ni
hist-c
geo-c
bio-b
chem-c
math-d
phys-d
eng-a
civ-b
kisw-c
Mkuu umeongea point, maisha hayana kanuni. Yani we unaweza kupenda hiki, yenye yakakupeleka kule.yaan hwa nasikitika na kuona vile watu wanapoteza muda kumshauri mtu vityu ambavyo sio ndoto yake....kwan ni sawa na bure kwa dunia ya leo.
soma kitu unakipenda ndgu yangu.....mambo ya fursa na nafsa huwa ynakuja tu vile unapenda kitu unakifanya.
npo sekta ya afya ambayo watu wanaipigia debe kila siku humu kuwa inafursa lkn kuna jmaa zangu ambayo walisoma vitu wnavipenda tofauti na afya tena wngine walisoma hzo comb wanaziita kajamba nani (yaan rahisi)......lkn leo kimaisha wameniacha mbali aisee.
Changanua......Goodluck.
Hehehe kirazaaaWote mnamchanganya dogo na kuongea upupu tu.bwana mdgo ishi katika ndoto zako hautokuja kujitia kamwe
nikipiga hge inakuaje apo kakfanya ECA itapendeza zaidi maana utakuwa na msingi toka chini
matokeo yangu ni
hist-c
geo-c
bio-b
chem-c
math-d
phys-d
eng-a
civ-b
kisw-c
Combination nzuri ni ile utakayoweza kusoma na kufaulu,mengine mbwembwe tucombination ipi nzuri kati ya HGE na CBG naombeni maoni yenu wakubwa
SawaCombination nzuri ni ile utakayoweza kusoma na kufaulu,mengine mbwembwe tu
History na English sawa?????Mnaopataga A english, history inawashinda nn kupata A
History na English sawa?????
Zote ni takataka ila hge ni takataka zaidi.
I guess elimu yako ni form au labda mwanao, nakushauri kama una C au D ya physics apply diploma ya CLINICAL MEDICINE
CBG ilikuwa zamani dili sikuizi hamuna kitu kipindi kile cbg anasoma adi pharmacy utaumiza ubongo kusoma biology bule at the end unaenda kule SUA ... HGE amuna kitu sijui unasoma uhasibu utakufa njaaa hapa town bro mim brother' wako nakushauli kama una ela kwenu kasome diploma ya afya au engineering utakuja kunishukuru siku mojacombination ipi nzuri kati ya HGE na CBG naombeni maoni yenu wakubwa
Mdogo wangu kwa matokeo hayo Nenda kasome Nursing, Pharmacy au Clinical officer zote kwa ngazi ya Diploma,maana huko kwingine utatuongezea msala mtaani.matokeo yangu ni
hist-c
geo-c
bio-b
chem-c
math-d
phys-d
eng-a
civ-b
kisw-c
You're right 100%Mdogo wangu kwa matokeo hayo Nenda kasome Nursing, Pharmacy au Clinical officer zote kwa ngazi ya Diploma,maana huko kwingine utatuongezea msala mtaani.