IPI BACKUP SOFTWERE NZURI

IPI BACKUP SOFTWERE NZURI

Nimefuta fail ya video naomba kusaidiwa iliniyarudishe.



Kweli wewe ni "New Member", sasa hii hoja yako ndugu " new member KISHOJU" ina uhusiano gani na jukwaa hili la siasa?Kuuliza si ujinga,kama unahisi huifamu njia sahihi ya kupita kuelekea unapokwenda kwa nini usiwaulize wapita njia wakuelekeze kuliko kujifanya mjuwaji?Ona sasa umeshapotea njia,njia hii uliyopita haitakufikisha uendko,ulizia majirani zako wakuoneshe njia sahihi.
 
[Q="KISHOJU, post: 17679557, member: 370232"]Nimefuta fail ya video naomba kusaidiwa iliniyarudishe.[/QUOTE]


Mkuu wangu hoi kitu ungepost kwenye jukwaa la "Habari na hoja mchanganyiko" ungepata msaada haraka sana ila hapa utaambulia tu matusi..

Ila kwa vile we ni new member sikulaumu hata kidogo...ila wakati mwingine ukifika mji mpya jaribu hata kusoma vibao kwani unaweza jikuta umeingia nyumbani kwa mtu bila kujijua... Hatari zaidi itakukuta pale ambapo Huyo mtu atakuwa anapenda 0715 tena kwa kubaka....duuuuuuuu
 
Back
Top Bottom