Iphone ndio simu ya mkononi ghali zaidi duniani

Toba yarabi mie.....simu ya mkono dot kiganjani watu wanatengana na milioni 30?! Ama vidole katu havitalingana....

Usiogope mkuu ,hizo ni collectors items,sio tamu kiviile,kama utakavyoenjoy kwenye iphone au samsung na nokia.hapo ni mpango wa jewels,preciou stones ,expensive casing baasi!i
 
Ooh kumbeee. Forever Pro iOS


Sent from my iPad using JamiiForums mobile app
 
Ooh kumbeee. Forever Pro iOS



Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
 
Kumbuka hapo wanazungumzia iPhone 5s special order covered with GOLD , umeangalia pic lakini ukajua ni simu ipi inazungumziwa

mtaongea weee lakini vertu ndo simu ya bei ghali duniani
 
Toba yarabi mie.....simu ya mkono dot kiganjani watu wanatengana na milioni 30?! Ama vidole katu havitalingana....

hyo simu inatoa hela Dina
 
Last edited by a moderator:

Too much of anything is harmfuL..uongo umeuzdsha mpaka umetoka nje ya ukweli!


Sent from my iPhone4 using JamiiForums
 
mtaongea weee lakini vertu ndo simu ya bei ghali duniani

Sawa weka hapa na bei ya iPhone cover in pure GOLD .... Tatizo wewe unasumbuka na model za kawaida na sio special order , Hiyo Vertu inauzwa ghala kwa mazingira yepi? Pata specification zinazoifanya iwe ghala utapata majibu kwamba unashindanisha wrong model
 
Too much of anything is harmfuL..uongo umeuzdsha mpaka umetoka nje ya ukweli!


Sent from my iPhone4 using JamiiForums

sasa jamaa alichodanganya ni nn? gugo vertu phone uone! cm hadi screw ni gold tupu
 

Ndo maana nazipendaa
 
Usiogope mkuu ,hizo ni collectors items,sio tamu kiviile,kama utakavyoenjoy kwenye iphone au samsung na nokia.hapo ni mpango wa jewels,preciou stones ,expensive casing baasi!i

Oooh...labda sawa. Mmmh, ila bado mkuu.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…