strong ruler
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 4,919
- 3,312
Pro tecno mavi yanagonga chupi hawataki kuamini hii habari
Hvi wew ushawahi kutumia iPhone au unapga kelel 2..iPhone zte disigned in calfonia ila wanazi assemble china kwnye cheap labour..
Toba yarabi mie.....simu ya mkono dot kiganjani watu wanatengana na milioni 30?! Ama vidole katu havitalingana....
Kumbuka hapo wanazungumzia iPhone 5s special order covered with GOLD , umeangalia pic lakini ukajua ni simu ipi inazungumziwa
Simu ghali niijuayo mimi ni Blackberry Porshe,ambayo moja wawezanunua Iphone 4 ata tatu,na huwezikuziona kila kona kama ilivyo Iphone
Pro tecno mavi yanagonga chupi hawataki kuamini hii habari
Hahaaaaaa ongeza na pro huawei
Ni kweli Mkuu, Blackberry Porsche Design P'9982 inauzwa zaidi ya dola 2,000. Hata hivyo nayo ni cha mtoto kwa Vertu ambayo ilikuwa ni subsidiary ya Nokia kabla hawajaiuza. Simu za Vertu huanzia Dola 5,000 - 85,000. Kuna moja niliiona pale Mlimani City kwenye duka la Voda ilikuwa inauzwa Tshs 30,000,000.
iphone zote zinatengenezwa china.
Pro tecno mavi yanagonga chupi hawataki kuamini hii habari
mtaongea weee lakini vertu ndo simu ya bei ghali duniani
Too much of anything is harmfuL..uongo umeuzdsha mpaka umetoka nje ya ukweli!
Sent from my iPhone4 using JamiiForums
View attachment 167244
Kwa kujibu jarida la richest imethibitisha kwamba simu za mkononi za iphone Ndio simu maarufu na ghali zaidi duniani ulaya marekani ni 90% ya watu utumia simu hizi, hii tofauti na africa ni 0.01% ndio wanaotumia simu hizi, imeelezwa umaarufu wake unatokana na mfumo wake wa ios ambapo kirusi chochote akiwezi kuiathiri , pia jarida hilo zimetaja simu zingine za mikononi kama blackberry, samsung , zikifatia kwa karibu.
sasa jamaa alichodanganya ni nn? gugo vertu phone uone! cm hadi screw ni gold tupu
Pro tecno mavi yanagonga chupi hawataki kuamini hii habari
Usiogope mkuu ,hizo ni collectors items,sio tamu kiviile,kama utakavyoenjoy kwenye iphone au samsung na nokia.hapo ni mpango wa jewels,preciou stones ,expensive casing baasi!i