tamimusalim
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 1,822
- 501
View attachment 167244
Kwa kujibu jarida la richest imethibitisha kwamba simu za mkononi za iphone Ndio simu maarufu na ghali zaidi duniani ulaya marekani ni 90% ya watu utumia simu hizi, hii tofauti na africa ni 0.01% ndio wanaotumia simu hizi, imeelezwa umaarufu wake unatokana na mfumo wake wa ios ambapo kirusi chochote akiwezi kuiathiri , pia jarida hilo zimetaja simu zingine za mikononi kama blackberry, samsung , zikifatia kwa karibu.
Simu ghali niijuayo mimi ni Blackberry Porshe,ambayo moja wawezanunua Iphone 4 ata tatu,na huwezikuziona kila kona kama ilivyo Iphone
Simu ghali niijuayo mimi ni Blackberry Porshe,ambayo moja wawezanunua Iphone 4 ata tatu,na huwezikuziona kila kona kama ilivyo Iphone
Ni kweli Mkuu, Blackberry Porsche Design P'9982 inauzwa zaidi ya dola 2,000. Hata hivyo nayo ni cha mtoto kwa Vertu ambayo ilikuwa ni subsidiary ya Nokia kabla hawajaiuza. Simu za Vertu huanzia Dola 5,000 - 85,000. Kuna moja niliiona pale Mlimani City kwenye duka la Voda ilikuwa inauzwa Tshs 30,000,000.
Simu ghali niijuayo mimi ni Blackberry Porshe,ambayo moja wawezanunua Iphone 4 ata tatu,na huwezikuziona kila kona kama ilivyo Iphone
Simu ghali niijuayo mimi ni Blackberry Porshe,ambayo moja wawezanunua Iphone 4 ata tatu,na huwezikuziona kila kona kama ilivyo Iphone
Simu ghali niijuayo mimi ni Blackberry Porshe,ambayo moja wawezanunua Iphone 4 ata tatu,na huwezikuziona kila kona kama ilivyo Iphone
Mkuu wa umaarufu sawa ....lakini hilo la ughali ni uongo kwani bei ya iphone 5 ni chini ya Samsung note 3 huko marekani ukitaka kujiridhisha ingia ebay au bestbuyView attachment 167244
Kwa kujibu jarida la richest imethibitisha kwamba simu za mkononi za iphone Ndio simu maarufu na ghali zaidi duniani ulaya marekani ni 90% ya watu utumia simu hizi, hii tofauti na africa ni 0.01% ndio wanaotumia simu hizi, imeelezwa umaarufu wake unatokana na mfumo wake wa ios ambapo kirusi chochote akiwezi kuiathiri , pia jarida hilo zimetaja simu zingine za mikononi kama blackberry, samsung , zikifatia kwa karibu.
unazungumzia iphone mchina au genuine?
iphone zote zinatengenezwa china.