Simu ambazo hazipati ni zenye chipset ya A11 bionic.SE ya 2022 anapata?
Ahahaha nimeona huko kwenye tech forums daah nomaHawa sio wa kuwaamini tusubiri mwakani utaskia 12 bionic hatutozipa update 13 ndo zitapokea naona
Sijawahi kuonaga utamu wa IOS hata, bado android atabaki kuwa juu kwangu.
Mimi kwenye simu cha kwanza ni freedom na iwe na peformance nzuri, security ni kipaumbele cha mwisho kabisa kwangu kwa sababu sionagi tofauti kwa watumiaji wa Apple ambao simu zao zina security kubwa, naona wote ni vilevile tu.
Android ndio unyama kwangu
Kwaiyo X nikiwa na jiwe tatu napata?
Nyie mtakuja kuuziwa mabomu[emoji1787][emoji1787]Saivi hdi 250k kwa mtu zitashuka sana tu itafikia 350 dukani tusubiri huu mwaka ukatike.
Saivi hdi 250k kwa mtu zitashuka sana tu itafikia 350 dukani tusubiri huu mwaka ukatike.
Bora achukue kwa mtu kwa 250 maana ataahinishiwa kila kilicho pungufu na mhusika,kuliko kwenda kuambiwa chukua hii ni mpya unakuta inachemka ukiwasha data[emoji16][emoji16]
Saivi kununua simu mkononi eiza muuzaji awe na risiti kama hana basi piga picha kitambulisho chake cha nida au cha kupigia kura hapo kazi umemaliza
Ngoja nivute vute muda adi hii update mpya itoke 😂😂😂Saivi hdi 250k kwa mtu zitashuka sana tu itafikia 350 dukani tusubiri huu mwaka ukatike.
Kwani wee jamaa unauza electronics material? Nimekuona kwenye uzi wa tv kuleNyie mtakuja kuuziwa mabomu[emoji1787][emoji1787]
Kwa bajeti ya 250K kama ni simu used nashauri
Google Pixel 3, 3A, 3A XL au Pixel 3XL. Pia kuna Sony Xperia XZ2 ila sio iPhone X
Si kutokana na kwamba itakosa update mpya kwaiyo itashuka thamani au?!Itakuwa imechoka sana. Maybe chukua dukan ikiwa mpya kabisa