Themann
JF-Expert Member
- Apr 15, 2022
- 3,844
- 16,095
Kama tunavojua apple wanapotoa toleo jipya la simu mfano iphone 15
pia hutoa na software mpya? Sasa hii hapa nakusogezea ili utambue.
Apple wameamua kuacha kuzipa updates simu hizi baada ya kuzipendelea kwa muda mrefu sana. Na kwa maana hiyo lengo lao ni kila. Mteja anae miliki kifaa chao aweze Kupanda matoleo ya juu zaidi.
Hili ni pigo pia kwa watumiaji wenye iphone X kushuka chini. Hizi ndio simu ambazo hazitopokea iOS 17 software updates
Iphone 8, 8+, SE, X
pia hutoa na software mpya? Sasa hii hapa nakusogezea ili utambue.
Apple wameamua kuacha kuzipa updates simu hizi baada ya kuzipendelea kwa muda mrefu sana. Na kwa maana hiyo lengo lao ni kila. Mteja anae miliki kifaa chao aweze Kupanda matoleo ya juu zaidi.
Hili ni pigo pia kwa watumiaji wenye iphone X kushuka chini. Hizi ndio simu ambazo hazitopokea iOS 17 software updates
Iphone 8, 8+, SE, X