Iphone 4s yangu haisomi laini za bongo nisaidieni plz!!!

mchajikobe

JF-Expert Member
Aug 14, 2009
2,652
1,238
Nimetumiwa iphone 4 na rafiki yangu,lakini tatizo ni kwamba haisomi laini za hapa nyumbani,kitu ambacho nilikifanya ni kureset all factory settings nikizani kuwa itasolve hilo tatizo,sasa baada ya kufanya hivyo inaniomba kurestore kwenye itunes nimefanya hivyo lakini inafikia sehemu inataka uinsert sim card,nikiinsert hizi za kwetu inaniletea msg kuwa sim card not compartible,kwahiyo sasa hivi siioni hata menu wala siwezi ku access kitu chochote,coz awali nilikuwa naweza kuitumia kwa kusikilizia muziki,kamera nk,tatizo lilikuwa laini tuu ndio hazisomi,msaada wenu wakuuu!!!
 
Hizo simu huwa zinauzwa na phone service providers uko zinakotoka na uwa wanazifungia kwa ajili ya line zao tu, sasa huyo aliyekutumia alitakiwa ahakikishe amefungua kabla, na kitu kingine alichosahau kukuambia ni kamwe usireset simu esp zilizonunuliwa zikiwa zimefungiwa kama hizo iphone
 
ok sjajua inatumia line za aina gani ila zipo line za aina mbili gsm(zantel,voda,tigo,airtel) na zipo za cdma (zantel tu)

Nenda na simu yako kwa wakala wa karibu wa zantel mwambie hilo tatizo atakutestia hizo line za cdma ikikubali nunua ni shilingi elf 10 tu hiyo line.

Ulete feedback
 
hapo inawezekana ipo locked na mitandao ya nje, kuiwezesha kutumia line zetu lazima ifanyiwe Factory Unlock au uiJailbreak ili uweze kuUnlock....
 
Nimetumiwa iphone 4 na rafiki yangu,lakini tatizo ni kwamba haisomi laini za hapa nyumbani,kitu ambacho nilikifanya ni kureset all factory settings nikizani kuwa itasolve hilo tatizo,sasa baada ya kufanya hivyo inaniomba kurestore kwenye itunes nimefanya hivyo lakini inafikia sehemu inataka uinsert sim card,nikiinsert hizi za kwetu inaniletea msg kuwa sim card not compartible,kwahiyo sasa hivi siioni hata menu wala siwezi ku access kitu chochote,coz awali nilikuwa naweza kuitumia kwa kusikilizia muziki,kamera nk,tatizo lilikuwa laini tuu ndio hazisomi,msaada wenu wakuuu!!!
Iphone zinaletaga tatizo hapo ukiriseti kila kitu ni kama umefuta kasimu kazima inatokeaga hivyo. Ulichotakiwa labda ni ku upgrade to the latest firm wire na ingekuwa shwari becouse i have had few like that and they all just needed just the latest firmware and they were fine. Now u might have to download the latest firmware 5.1.1. inategemea operating system yako kama windows au OSX goole manual download for that firmware na utafute instruction za operating system yako kupitia itunes mwenyewe unaweza maliza katatizo.
 
Iphone zinaletaga tatizo hapo ukiriseti kila kitu ni kama umefuta kasimu kazima inatokeaga hivyo. Ulichotakiwa labda ni ku upgrade to the latest firm wire na ingekuwa shwari becouse i have had few like that and they all just needed just the latest firmware and they were fine. Now u might have to download the latest firmware 5.1.1. inategemea operating system yako kama windows au OSX goole manual download for that firmware na utafute instruction za operating system yako kupitia itunes mwenyewe unaweza maliza katatizo.
fILMWARE ZA SASA (KUANZIA 5.0.1 NA KUENDELEA) NI LAZIMA UIACTIVATE NA ORIGINAL SIM CARD BEFORE UNLOCKING (KAMA SI FACTORY UNLOCKED).UNATAKIWA UPACHIKE SIM CARD ORIGINAL THEN CONNECT NA ITUNE BABKA YA KU-UNLOCK USING AVAILABLE METHODS ZA KU-UNLOCK.
 
Iphone zinaletaga tatizo hapo ukiriseti kila kitu ni kama umefuta kasimu kazima inatokeaga hivyo. Ulichotakiwa labda ni ku upgrade to the latest firm wire na ingekuwa shwari becouse i have had few like that and they all just needed just the latest firmware and they were fine. Now u might have to download the latest firmware 5.1.1. inategemea operating system yako kama windows au OSX goole manual download for that firmware na utafute instruction za operating system yako kupitia itunes mwenyewe unaweza maliza katatizo.

Ukiipeleka katika iyo firmware simu itabidi uieke kabatini, hata ukijailbreak haitoki Locki because ya hiyo baseband ya ios 5.1.1
 
Back
Top Bottom